Dah kumbe mwanetu wewe ni mzungu kichaa(jokes) 🤣hi mdhungu welcome jamii forum🏃♂️Trump sio kabisa.
Ana sera mbovu sana za uhamiaji.
Hataki wahamiaji kule marekani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah kumbe mwanetu wewe ni mzungu kichaa(jokes) 🤣hi mdhungu welcome jamii forum🏃♂️Trump sio kabisa.
Ana sera mbovu sana za uhamiaji.
Hataki wahamiaji kule marekani.
Wahamiaji wana vurugu sana acha washugulikiweTrump sio kabisa.
Ana sera mbovu sana za uhamiaji.
Hataki wahamiaji kule marekani.
Trump ana shinda mapema tuUchaguzi mgumu huu 50/50
Ndio katika BWANANdugu yako?
Urudishiwe ww kama nani? Kama msimbe? Shetani jike wwe na roho mbaya yakoAshinde aturudishie mange huku tudeal nae
Kura zinaanza kupigwa saa ngapi?Trump ana shinda mapema tu
Mpaka kesho saa mbili usiku tiar ashatangazwa
Sasa upeleke hilo pongo marekani kws lipi?😂😂😂Trump sio kabisa.
Ana sera mbovu sana za uhamiaji.
Hataki wahamiaji kule marekani.
Kesho majira kama haya Trump atakuwa kashatangazwa mshindiKamala anaweza kuukwaa usamia kwa taarifa yako sasa.
Leo usiku ya hukuKura zinaanza kupigwa saa ngapi?
Trump anatakiwa na wamarekani wengi ila mfumo wa kishetani ambao umekamata america haumtaki sasa ashinde kwa neema ya Mungu tu kama alivyoshindaga Magu...Aman iwe nanyi wapendwa katika BWANA
Yakiwa yamebaki masaa machache sana ili uchaguz ufanyike nchini Marekani
Mimi pia naona kwamba yamebakia masaa machache sana pia ili ndugu yangu Donald trump aweze kutangazwa mshindi wa urais wa America
Mimi namtakia ushindi mwema
Mimi namtakia Urais mwema
Mimi namtakia awamu njema
Mimi namtakia maisha
Asanten
Beira boy
Nanyupu
Unabisha au unauliza?Trump ni ndugu yako
Unazipenda sana amsha-amsha zake?Apite, dunia ichangamke
yeye na mwenzie KIDUKU wa Korea walifanya tu enjoy Kuwasikia yaniiiApite, dunia ichangamke
Ana ushawishi mkubwa sanayeye na mwenzie KIDUKU wa Korea walifanya tu enjoy Kuwasikia yaniii
Kwa ukubwa wa lile taifa, anatakiwa mtu mtataUnazipenda sana amsha-amsha zake?