Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 1,396
- 2,704
Mimi sifikiri kama atashinda na sipendi ashinde
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakonpia wanatekana ?Vipi huko nako wanakimbia na masanduku ya kupigia kura?
KAmala ana akili ndogo sanaMimi sifikiri kama atashinda na sipendi ashinde
Kumbe hujui kingereza ....taharuki na shutuma ni nyingi.Vipi huko nako wanakimbia na masanduku ya kupigia kura?
Yes, dunia iepuke kuongozwa na mwanamke sampuri ya chura na KamalaDonald Trump 47th president of the US
Kiingereza najua kile cha kuombea maji tu, naomba unitafsirie kwa kinyakyusaKumbe hujui kingereza ....taharuki na shutuma ni nyingi.
National Guards wameshaekwa tayari pale Washinton DC.
Hapana, mkuu. Japo mimi niko kwa Trump, ila Kamala Harris ni mwanamke mahiri sana. Usipotoshwe na vyombo vya habari ambavyo hukosoa kila herufi anayotamka mwanasiasa.KAmala ana akili ndogo sana
Timu ya kampeni ya Trump imeshaanza kulalamikia "uchafuzi " kama mnavyopenda kusema.Kiingereza najua kile cha kuombea maji tu, naomba unitafsirie kwa kinyakyusa
Si mwenye busara? Maana tunajua Bush na utata wake alikotufikisha, hasa mitikasi yake pale Mashariki ya Kati.Kwa ukubwa wa lile taifa, anatakiwa mtu mtata
Nami namwombea Kamala Harris ashinde lkn litrump nalo nilibishi linaweza kupita hata kama watu wengi hatulipendi nakumbuka 2016 nako ilikuwa hivihivi.Nimefiatilia chaguzi nyingi za Marekani. Huwa zinakuwa quite interesting.
Nafikiria Kamala Harris atashinda.
Sisemi nataka ashinde, ila nafikiria atashinda.
Kumnyakua tonge aliyeko madarakani ni mbinde. Lazima pawepo taiming' na ubabe fulani hivi. Trump akinyang'anywa tena, kwisha habari yake.Timu ya kampeni ya Trump imeshaanza kulalsmikia "uchafuzi " kama mnavyopenda kusema.
Pia walinzi wa amani kutoka Serikalini wameanza kuwekwa tayari kukkabili wakorofi kuanzia leo hadi tarehe 7 hivi.
Kwa ufupi demokrasia ni neno tu...inapokuja issue ya maslahi flani ya kitaifa ubabe lazima utumike
Mpaka sasaivi zimefunguliwa kesi 100 mbalimbali za kupinga matokeoKumnyakua tonge aliyeko madarakani ni mbinde. Lazima pawepo taiming' na ubabe fulani hivi. Trump akinyang'anywa tena, kwisha habari yake.
Sitaki itokee lakini kwa kauli za Trump na kile ambacho ametendewa toka 2020, hawezi kukubali. Yuko radhi kuanzisha fujo, hata kama itamgharimu maisha yake.
Halafu, kushindwa kwa Trump maana yake ni kwamba kesi zake zinazomkabili zitaendelea dhidi yake. Sasa kuhusu hilo Trump anafanya juhudi zote kuzuia lisitokee kabisa.
Kwani matokeo yameshatoka? Unapingaje kitu ambacho hakipo bado???Mpaka sasaivi zimefunguliwa kesi 100 mbalimbali za kupinga matokeo
Mkuu Kamala hayuko smart kichwani kivile.Hapana, mkuu. Japo mimi niko kwa Trump, ila Kamala Harris ni mwanamke mahiri sana. Usipotoshwe na vyombo vya habari ambavyo hukosoa kila herufi anayotamka mwanasiasa.
Trump is the winner.Nimefiatilia chaguzi nyingi za Marekani. Huwa zinakuwa quite interesting.
Nafikiria Kamala Harris atashinda.
Sisemi nataka ashinde, ila nafikiria atashinda.