Hawakimbii na masanduku, uchakachuzi upo kwenye zile kura zinazopigwa mapema na kura za posta.Vipi huko nako wanakimbia na masanduku ya kupigia kura?
Millions of votes..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakimbii na masanduku, uchakachuzi upo kwenye zile kura zinazopigwa mapema na kura za posta.Vipi huko nako wanakimbia na masanduku ya kupigia kura?
Trump is the winnerUchaguzi mgumu huu 50/50
You are new to their voting system. Early voting system ina matatizo mengi, na voter fraud kibao.Kwani matokeo yameshatoka? Unapingaje kitu ambacho hakipo bado???
Nina hakika huna uelewa wa yanayoendelea kwenye ishu ya uhamiaji marekani.Wahamiaji wana vurugu sana acha washugulikiwe
Niliishi Mozambique kama mhamiaji nikiwa na watanzania wenzagu nilichokiona kutoka kwa wagen pale Mozambique hakikuwa kitu kizuri
Kwanza ni wezi pili wahalifu tatu wanazarau wenyeji
Wahamiaji wengi ni washenzi sana
Mfano mdogo angalia mwanza kuna wahamiaji wanaitwa wakurya ni wezi baraa butimba gerezan wamejaa wao tu
Mhamiaji sio mtu wa kumuonea huruma
Angalia wasomali walivyo vuruga aman ya majiran zetu wakenya
Binadamu wote ni ndugu. Donald Trump ni ndugu yako pia.Ndugu yako?
Hakuna kampuni inayoweza kutupa amana zake kwa jambo lililo wazi kiasi hiko. Huko ni sawa na kumwaga maburungutu ya pesa mitaani wahuni wajiokotee bila jasho.Kampuni za kubet zingeweka huu mkeka nimpe TRUMP mimi
Nadhani humjui vizuri Trump na sera zake. Vyote alivyoandika viko kinyume.Ndio katika BWANA
Hataki mashoga hataki utoaji mimba hataki bangi hataki ugaid hataki uvivu
WEWE UNVYOMPENDA MESSI WA BACELONA KWANI NI NDUGU YAKO?Ndugu yako?
Marekani bado ipo ipo sana asee.
Marekani kuanguka sio jambo la kesho au kesho kutwa...Mimi ni shabiki wa Trump lialia, lkn Kamala anashinda na ndio mwisho wa dola ya Marekani
Marekani kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa very very weak.
China ndio superpower ajaye.
Ray Dalio aliwahi kutabiri anguko la Marekani na kwenye kitabu chake cha "New World Order" alionesha namna trend za hizi super powers zinavyokua na kupotea. Marekani ipo mwishoni mwake, na kwa super powers wengi wakifikia hapo basi raia zake wanakuwa wameendekeza ujinga, zinaa, uhuni, na hao ndio watapigia kura mtu asie na uwezo na kumuweka madarakani.
Trump atashindwa sio kwamba hana uwezo, lkn ni kwamba USA does no longer deserve a president like him.
Goodbye America, Welcome China.
Policy za Kamala.. hilo somo refu kdgMarekani kuanguka sio jambo la kesho au kesho kutwa...
Ila hujatuambia Kamala atachangia vipi kuiangusha Marekani.