Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio issue ya watu kumuita ni issue ya fact.Mtu aliyezaliwa na Mama mzungu na Baba Mweusi huwezi sema huyo.mtu ni mweusi sababu ana mchanganyiko wa rangi 2 tofauti.Kwaninwamarekani wenyewe wanamuitaje. Black, white, hispanic, indian? Au ushawai sikia wanamuita mtu half cast mkuu🤣
Niliwambia Trump atafika 324 EC na hicho kibaniani hakifiki popote kitaishia labda 224 au 226 chini ya 248.Trump anashinda...
Ila vitu vingine sio poa yaani nchi inaongozwa na mtu amevaa SHANGA kiunoni?Hii sio sawaNi kweli bosi, ila kwenye mifumo dume hata kama baba kwenye nyumba kazi yake kuvaa suruali tu ila kama nyumba ina Baba inaheshimika hata kama mama ndiyo bread winner wa familia. Lijue hilo na ndicho nilimaanisha
Kwenye communities za us , mixed, au half cast haipo, labda useme kwanini obama yumuite black na sio white. Suala la mixed bado hawajaliamua kuleSio issue ya watu kumuita ni issue ya fact.Mtu aliyezaliwa na Mama mzungu na Baba Mweusi huwezi sema huyo.mtu ni mweusi sababu ana mchanganyiko wa rangi 2 tofauti.
wanapoteza muda wampe chake dingi trump aanze kuichangamsha dunia.
214 kwa 247Come back inakuja
Elon Musk ni African-AmericanNamuita black kwasababu wamarekani wenzake wanamuita black, hata yeye mwenyewe kakubaliana na hilo "african america"
Kwasasa ibaki hivo japo kunakuaga na debate kuna watu wanahoji mfano wale wazungu wa southafrica wakichukua uraia wa marekani wataitwa "african american?" Nikiipata ile clip ntaiattach
Kwa muda huu wamerakani wanasema obama ni black wa kolomije
214 kwa 247
Tuliwaambia Trump anashinda...wakuda walitutukanaHarris hatukutiii💪💪💪🎺🎺🎺
waukraine kukandamizwa sawa lakin wapalestina aah!Faida kwa Russia maana anakalia eneo kubwa la Ukraine, isitoshe Ulaya pekee haiwezi kuisaidia Ukraine kuendeleza vita.
Ila kule Gaza naogopa Wapalestina wasije wakakandamizwa zaidi.
Ukoloni haujawahi kuondoka nchi nyingi Afrika.Ukoloni mweusi upo sana na ndio aina mbaya zaidi ya ukoloni.Africa inarudishiwa ukoloni