Narumu kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,888
- 4,489
KAMALA AKUTANE NA PUTIN AMETUPIA VODKA ZAKE MKWARA MMOJA ATAJIFUNGIA CHUMBANWamarekani hawataki kutawaliwa na mwanamke.. acha sisi tuendelee kuugulia maumivu yanayosababishwa na Chura Kiziwi wa Kizimkazi Republic.
Acha theory zako za kutunga uchaguzi wa marekani unaamullwa na wananchi kwa kupiga kura hakuna figisu kama huku TanzaniaHii ni rahisi sana
Trump atashinda huu uchaguzi
Reasons:-
Raia wa marekani na CIA haiwezi kurisk kufanya majaribio,katika kipindi cha miaka 300 wamuweke rais mwanamke,tena black american.......hii haitatokea
Amebakiza electoral votes 3 tu kufikisha 270NI kweli Kabisa
Mpaka Sasa siamini kama huu uchaguzi na haya matokeo yamekuwa rahisi namna hii Kwa Trump
Jamaa kabakiza 60 tuu mpaka Sasa
Yaani Harris anahitaji muujiza ili ashinde
Au uje kigamboni nikununulie 😎🔥🔥🔥ngoja nilale pizza Kwa furaha🤣🤣🤣
Walikuwa wabishi sana Hawa 😃 😃Wale mlikuwa mnabisha ss mmeelewa na utabiti wenu wa Simpson 🤣🤣
Tuliwaambia tutawapiga mapema sn
Watu wapo wanapiga selfie hukoAmebakiza electoral votes 3 tu kufikisha 270
Huyu anaelewa kila kitu, ila ndio hataki kukubaliUkraine kabla ya mgogoro wake na Russia kwa military strength ilikuwa inashika namba 3 mara nyengine 4.
Tutumie logic kufikiri, kwa silaha alizokuwa nazo kumzuia Russia kutoingia maeneo yake alishindwa wapi?
Uko dunia gani mwenzetu?Amebakiza electoral votes 3 tu kufikisha 270
Basi hafai hata kuwa kiongozi wa aina yoyote kama hana moyo wa kukubaliana na ukweli.Huyu anaelewa kila kitu, ila ndio hataki kukubali
Uko dunia ipi wewe?Trump 267 - 224 Kamala
Mangi, ameshashinda, Alaska (3) ni red.Amebakiza electoral votes 3 tu kufikisha 270
Hahahaha kimbembe hapa Tanzania yaani CCM sijui tutajificha wapi na mgombea wetu mwanamke hahahaAfrica inarudishiwa ukoloni
Acha uongo matokeo badoUko dunia ipi wewe?
Trump keshatoa mpaka victory speech.
Zingatia Obama alikua mwanaume huyu Harris ni mwanamke.Mbona walishamuweka black president, temna akaenda term 2.
Ni suala la muda, akija mwenye sera nzuri watamchagua tuZingatia Obama alikua mwanaume huyu Harris ni mwanamke.