China haiwezi kuwa hapo ilipo bila marekani, na Marekani haiwezi kuwa hapo ilipo bila China. Hiyo graph will never change.View attachment 3143990
Hapo graph ilipoishia ndipo tulipo. USA bado ipo ndio sikatai ila after 10 years itakua ni kama UK tu, unaona UK ilivyo kwa sasa, miaka ya 80s ungemwambia mtu UK itakua hv asingekuamini
Kamala hashindi.Mimi ni shabiki wa Trump lialia, lkn Kamala anashinda na ndio mwisho wa dola ya Marekani
Marekani kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa very very weak.
China ndio superpower ajaye.
Ray Dalio aliwahi kutabiri anguko la Marekani na kwenye kitabu chake cha "New World Order" alionesha namna trend za hizi super powers zinavyokua na kupotea. Marekani ipo mwishoni mwake, na kwa super powers wengi wakifikia hapo basi raia zake wanakuwa wameendekeza ujinga, zinaa, uhuni, na hao ndio watapigia kura mtu asie na uwezo na kumuweka madarakani.
Trump atashindwa sio kwamba hana uwezo, lkn ni kwamba USA does no longer deserve a president like him.
Goodbye America, Welcome China.
Pia soma:
LIVE - Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
Aki-deal na Epstein list ataimarisha vipi uchumi wa Marekani.Policy za Kamala.. hilo somo refu kdg
Pia kamala yupo pale kulinda watu. Trump amesema akirudi madarakani anadeal na Epstein list (Epstein alikua na kesi kama ya pdidy ila wakamuulia jela ili kumzima asije sema waliokuwa washiriki wake, na kwenye hao washiriki hadi billgates, red hoffman, na vigogo wengine wote wamo).
Raisi anaengia kulinda waovu kwenye nchi kubwa kama USA ni janga, hayo mambo ni ya kuyafanyia nchi za kiafrika
Israhell si tumekubaliana inasaidiwa na mungu au mungu kaishiwa na sad na iyon Dom walokole bange mnazo tumia dahHarris anamtazami Gani kuhusu Israel?
Mi nataka atakayeinhia aisaidie Israel kuipA Vifaa vya kivita basi.
Kwani miaka yote ambayo Russo alikua ama yupo vitani rahisi alikua nani nakaa chive nini hamna lakumfanya Russia hata ashinde naniTatizo lenu mtanaka trump ashinde uchaguzi ili aje kumpa Russia ushindi alafu baadae mje kuicheka hiyo hiyo USA na NATO hizo ndo akili zenu,
😀😀 Putin anatafuta huruma ya trumpKwani miaka yote ambayo Russo alikua ama yupo vitani rahisi alikua nani nakaa chive nini hamna lakumfanya Russia hata ashinde nani
Mbona tunaambiwa kuwa Israel ni self- sufficient na ndio inayo contŕol USA!! Kivipi tena isaidiwe silaha?Harris anamtazami Gani kuhusu Israel?
Mi nataka atakayeinhia aisaidie Israel kuipA Vifaa vya kivita basi.
Kessy kama za pdidy ndiyo zinaweza kusababisha nchi isiwe superpower?Policy za Kamala.. hilo somo refu kdg
Pia kamala yupo pale kulinda watu. Trump amesema akirudi madarakani anadeal na Epstein list (Epstein alikua na kesi kama ya pdidy ila wakamuulia jela ili kumzima asije sema waliokuwa washiriki wake, na kwenye hao washiriki hadi billgates, red hoffman, na vigogo wengine wote wamo).
Raisi anaengia kulinda waovu kwenye nchi kubwa kama USA ni janga, hayo mambo ni ya kuyafanyia nchi za kiafrika
Mnaambiwa na nani?Mbona tunaambiwa kuwa Israel ni self- sufficient na ndio inayo contŕol USA!! Kivipi tena isaidiwe silaha?
UK ikoje? Miaka ya 80s ilikuaje??View attachment 3143990
Hapo graph ilipoishia ndipo tulipo. USA bado ipo ndio sikatai ila after 10 years itakua ni kama UK tu, unaona UK ilivyo kwa sasa, miaka ya 80s ungemwambia mtu UK itakua hv asingekuamini
Hapana, mkuu. Ukreni ndiyo inatamani Trump ashinde, vita viishe ili asingizie kwamba isingekuwa Trump kuingilia kati, basi angemchakaza Putin mbaya mbovu.Tatizo lenu mtanaka trump ashinde uchaguzi ili aje kumpa Russia ushindi alafu baadae mje kuicheka hiyo hiyo USA na NATO hizo ndo akili zenu,
Ndo wanajiandaa kuamka subiri kuanzia saa mbili usiku baadhi ya majimbo kuanzia kutangaza mshindiHivi leo si ndio uchaguzi? Mbna hakuna updates yoyote ile hapa?