Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trump ni mwehu sana!Trump Hana nia njema na watu wenye asili ya afrika ,ndiyo maana katika utawala wake kulikuwa na matukio mengi ya watu wa asili ya afrika kuawa na polisi Marekani na serikali Ku to jari
Yeah!Tunaomba updates za uchaguzi
Kwahiyo Iran haina uhitaji wowote na Ayatollaha? Hebu nenda pale Tehran kaseme hivyoSema kondoo mnamuhitaji awachunge.
Dunia haina uhitaji wa yeyote si Trumpo si mwengine yeyote. Tunae Muumba wetu, anatosha kabisa tena na zaidi.
🫱🏽🫲🏾🫱🏽🫲🏾🫱🏽🫲🏾🫱🏽🫲🏾🫱🏽🫲🏾Aman iwe nanyi wapendwa katika BWANA
Yakiwa yamebaki masaa machache sana ili uchaguz ufanyike nchini Marekani
Mimi pia naona kwamba yamebakia masaa machache sana pia ili ndugu yangu Donald trump aweze kutangazwa mshindi wa urais wa America
Mimi namtakia ushindi mwema
Mimi namtakia Urais mwema
Mimi namtakia awamu njema
Mimi namtakia maisha
Asanten
Beira boy
Nanyupu
PIA SOMA
- Ujue uchaguzi wa Marekani (USA) na jinsi rais wake anavyochaguliwa
Hahhaaa sasa mama wa kijahidina ndo unapinga au unauliza?Wewew wacha ukondoo, toka lini Trump akawa nduguyo?
Leo kamanda wakiiran kawapiga biti nzito wamerekani, umeiona?Kwahiyo Iran haina uhitaji wowote na Ayatollaha? Hebu nenda pale Tehran kaseme hivyo
Sijaona rafiki yangu naomba linkLeo kamanda wakiiran kawapiga biti nzito wamerekani, umeiona?
ewe pOkea tu hiyo link, lakini koma kuniita rafiki yako, Hunijuwi sikujuwi:Sijaona rafiki yangu naomba link
Kwani hamuna makwenu mzee si mubakie makwenu na nyie wakataeni makwenu lazima wataanza kuwaheshimu itapatikana Ile fifty fifty kwa sera hii naungana na dt ila kwengine kote sikubaliani nae pia nakubaliana nae kwenye sera za machoko nb marekani rais hata awe baba angu mzazi basi atakua tu rais wa hovyo muuaji katiliTrump sio kabisa.
Ana sera mbovu sana za uhamiaji.
Hataki wahamiaji kule marekani.
Rudini kwenuTrump Hana nia njema na watu wenye asili ya afrika ,ndiyo maana katika utawala wake kulikuwa na matukio mengi ya watu wa asili ya afrika kuawa na polisi Marekani na serikali Ku to jari
Inaonekana upo kwenye electrol mkuu enhee nani ni naniHakuna kampuni inayoweza kutupa amana zake kwa jambo lililo wazi kiasi hiko. Huko ni sawa na kumwaga maburungutu ya pesa mitaani wahuni wajiokotee bila jasho.
Tunaomba updates za uchaguzi
Akishinda utakana hii kauli ?KAmala ana akili ndogo sana
Akishinda utakana hii kauli Yako ?MAREKANI HAIWEZI KUONGOZWA NA MSIMBE!
MAKE AMERICA GREAT AGAIN!
Hiyo kwake ni washful thinking aliyoigeuza kuwa uhalisia. Hata hivyo uchaguzi huu unaweza kuwa kama ule wa 2020. Dalili zilijionesha mapema sana.Akishinda utakana hii kauli Yako ?
ewe pOkea tu hiyo link, lakini koma kuniita rafiki yako, Hunijuwi sikujuwi:
View: https://youtu.be/6npULTcpMz0?si=aDEYscKU-eLnFLxL