Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Nani atashinda uchaguzi USA November 5, 2024?

  • Republicans (Donald Trump)

  • Democrats (Kamala Harris)


Results are only viewable after voting.
China haiwezi kuwa hapo ilipo bila marekani, na Marekani haiwezi kuwa hapo ilipo bila China. Hiyo graph will never change.
Unaelewa unachoongea au unaongea ili mradi tu?

Hiohio mentality iliwasukuma USA kuwapiga sanctions Huawei (china) haya umesikia kufuru anazofanya Huawei kwa sasa?
 
kati ya trump na kamalla, kwa future ya marekani bora ashinde TRUMP, yule maza cheka cheka ataingizwa chaka na wahuni kama anavyoingiza maza yenu huku, na USA itaanza kuwa ya hovyo, isiyotawalika, uhuni utazidi, magenge yatazidi, wahamiaji watazidi,na uchumi utaanza kuathirika, baada ya muda CHINA ana take over u superpower.
Angalau umeelewa

Kuna vilaza humu hata hawawezi kuelewa vitu vya wazi kama hv
 
Marekani kuanguka sio jambo la kesho au kesho kutwa...

Ila hujatuambia Kamala atachangia vipi kuiangusha Marekani.
Trump anachukua.

mfano akipita Kamala na Democrat yake US is fuckedup.
Haijalishi ukubwa wa Uchumi wake, ni dakia za mwisho hata matajiri wenye makampuni makubwa wameuja kugundua hilo, wanatamani wangeona mapema kama alivyona Elon Musk.
Democrat wana ujinga mwingi sana
 
Mimi ni shabiki wa Trump lialia, lkn Kamala anashinda na ndio mwisho wa dola ya Marekani

Marekani kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa very very weak.

China ndio superpower ajaye.

Ray Dalio aliwahi kutabiri anguko la Marekani na kwenye kitabu chake cha "New World Order" alionesha namna trend za hizi super powers zinavyokua na kupotea. Marekani ipo mwishoni mwake, na kwa super powers wengi wakifikia hapo basi raia zake wanakuwa wameendekeza ujinga, zinaa, uhuni, na hao ndio watapigia kura mtu asie na uwezo na kumuweka madarakani.

Trump atashindwa sio kwamba hana uwezo, lkn ni kwamba USA does no longer deserve a president like him.

Goodbye America, Welcome China.

Pia soma:
LIVE - Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
Ila mna kazi sana hii miaka aisee mmesahau kwamba huyo Trampu alishaga waita ma ShitHalls
 
Trump sio criminal, he was criminalized but he won.

Angekua mhalifu usingewaona watu upright kama Dr. Ben Carson wanampigia chapuo

Mhalifu ni Kamala na genge lake lililopo kwenye Epstein list
Ameshinda kwa vipi ? Hukumu ya mahakama ilisemaje? Ben Carson sio mahakama. Kwa CV ya Trump, angekuwa anaomba ajira serikali ya Marekani, asingeajiriwa. Ni ajabu sana mpaka anafikia kugombea uraisi, bila ya kujali kuwa atashinda au la.
 
Trump is a criminal and a convicted felon. Siasa za marekani sio kama za bongo mzee, Raisi ana limitations kwahiyo Kamala hawezi kua chanzo Cha anguko la marekani kwasabb ni mwanamke. There's alot in decision making in American politics not like Tanzania where it's a one man's show.
#No malice to anybody
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Yakiwa yamebaki masaa machache sana ili uchaguz ufanyike nchini Marekani

Mimi pia naona kwamba yamebakia masaa machache sana pia ili ndugu yangu Donald trump aweze kutangazwa mshindi wa urais wa America

Mimi namtakia ushindi mwema
Mimi namtakia Urais mwema
Mimi namtakia awamu njema
Mimi namtakia maisha

Asanten

Beira boy
Nanyupu

PIA SOMA
- Ujue uchaguzi wa Marekani (USA) na jinsi rais wake anavyochaguliwa
Wewe wacha ukondoo, toka lini Trump akawa nduguyo?
 
Tutamuulia madarakani safari hii hatupigi skio ni risasi ya komwe
 
Mimi ni shabiki wa Trump lialia, lkn Kamala anashinda na ndio mwisho wa dola ya Marekani

Marekani kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa very very weak.

China ndio superpower ajaye.

Ray Dalio aliwahi kutabiri anguko la Marekani na kwenye kitabu chake cha "New World Order" alionesha namna trend za hizi super powers zinavyokua na kupotea. Marekani ipo mwishoni mwake, na kwa super powers wengi wakifikia hapo basi raia zake wanakuwa wameendekeza ujinga, zinaa, uhuni, na hao ndio watapigia kura mtu asie na uwezo na kumuweka madarakani.

Trump atashindwa sio kwamba hana uwezo, lkn ni kwamba USA does no longer deserve a president like him.

Goodbye America, Welcome China.

Pia soma:
LIVE - Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
Trump ndiye rais ajaye wa Marekani.
 
Back
Top Bottom