Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Nani atashinda uchaguzi USA November 5, 2024?

  • Republicans (Donald Trump)

  • Democrats (Kamala Harris)


Results are only viewable after voting.
Ndo mzuri ili Waafrika wabaki makwao siyo wanatuibia Kisha wanakimbilia marekani
Duania yote ni kwetu kwa sababu hata hapo unaposema ni kwenu ni mipaka ya kikoloni katika kujigawanyia utawala.
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Yakiwa yamebaki masaa machache sana ili uchaguz ufanyike nchini Marekani

Mimi pia naona kwamba yamebakia masaa machache sana pia ili ndugu yangu Donald trump aweze kutangazwa mshindi wa urais wa America

Mimi namtakia ushindi mwema
Mimi namtakia Urais mwema
Mimi namtakia awamu njema
Mimi namtakia maisha

Asanten

Beira boy
Nanyupu

PIA SOMA
- Ujue uchaguzi wa Marekani (USA) na jinsi rais wake anavyochaguliwa
Unabii unasema ni Harris, pole sana. Keep my words!!😋
 
Leo Novemba, 5 mwaka 2024 wananchi wa Marekani wanapiga kura kuchagua rais wa nchi hiyo atakayeongoza kwa kipindi cha miaka minne

Mchuano mkali ni kati ya makamu wa rais wa sasa BI. Kamala Harris (60) wa chama cha Democratic na Bw. Donald Trump wa cha Republican

Trump ana nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi huu kutokana na imani kubwa kwa wananchi wa nchi hiyo hasa wadhungu weupe na matajiri kuwa atainua uchumi wa nchi hiyo

Atamaliza vita kati ya Urusi na Ukraine pamoja na mipigano yanayoendelea Mashariki ya kati Israel na Palestine/Hisborrha

Pia wananchi wa USA wanaamini Trump akiwa madarakani atadhibiti wahamiaji haramu kuingia kiholela nchini humo sera ambayo amekuwa akiihubiri kwenye kampeni zake

Soma Pia:
LIVE Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Aidha wanaamini mgombea huyo ataimarisha uhusiano wa kibiashara na China na Urusi na kwamba atapunguza migogoro ya kivita kati ya nchi hiyo na China na Rusia hivyo kuimarisha uchumi

Wamarekani wanaamini pia Trump atadhibiti ugaidi nchini mwao na kuwafurusha wahamiaji haramu na kuthibiti utoaji misaada kwa nchi masikini za dunia ya tatu

Karata yangu miye pia napa mwamba Donald Trump kushinda na kuibuka kidedea kwenye uchaguzi wa leo

Comasava
 
Leo Novemba, 5 mwaka 2024 wananchi wa Marekani wanapiga kura kuchagua rais wa nchi hiyo atakayeongoza kwa kipindi cha miaka minne

Mchuano mkali ni kati ya makamu wa rais wa sasa BI. Kamala Harris (60) wa chama cha Democratic na Bw. Donald Trump wa cha Republican

Trump ana nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi huu kutokana na imani kubwa kwa wananchi wa nchi hiyo hasa wadhungu weupe na matajiri kuwa atainua uchumi wa nchi hiyo

Atamaliza vita kati ya Urusi na Ukraine pamoja na mipigano yanayoendelea Mashariki ya kati Israel na Palestine/Hisborrha

Pia wananchi wa USA wanaamini Trump akiwa madarakani atadhibiti wahamiaji haramu kuingia kiholela nchini humo sera ambayo amekuwa akiihubiri kwenye kampeni zake

Aidha wanaamini mgombea huyo ataimarisha uhusiano wa kibiashara na China na Urusi na kwamba atapunguza migogoro ya kivita kati ya nchi hiyo na China na Rusia hivyo kuimarisha uchumi

Wamarekani wanaamini pia Trump atadhibiti ugaidi nchini mwao na kuwafurusha wahamiaji haramu na kuthibiti utoaji misaada kwa nchi masikini za dunia ya tatu

Karata yangu miye pia napa mwamba Donald Trump kushinda na kuibuka kidedea kwenye uchaguzi wa leo

Comasava
Matokeo ya huo uraisi huwa hayatabiriki.
Refer trump 2016.
 
Leo Novemba, 5 mwaka 2024 wananchi wa Marekani wanapiga kura kuchagua rais wa nchi hiyo atakayeongoza kwa kipindi cha miaka minne

Mchuano mkali ni kati ya makamu wa rais wa sasa BI. Kamala Harris (60) wa chama cha Democratic na Bw. Donald Trump wa cha Republican

Trump ana nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi huu kutokana na imani kubwa kwa wananchi wa nchi hiyo hasa wadhungu weupe na matajiri kuwa atainua uchumi wa nchi hiyo

Atamaliza vita kati ya Urusi na Ukraine pamoja na mipigano yanayoendelea Mashariki ya kati Israel na Palestine/Hisborrha

Pia wananchi wa USA wanaamini Trump akiwa madarakani atadhibiti wahamiaji haramu kuingia kiholela nchini humo sera ambayo amekuwa akiihubiri kwenye kampeni zake

Aidha wanaamini mgombea huyo ataimarisha uhusiano wa kibiashara na China na Urusi na kwamba atapunguza migogoro ya kivita kati ya nchi hiyo na China na Rusia hivyo kuimarisha uchumi

Wamarekani wanaamini pia Trump atadhibiti ugaidi nchini mwao na kuwafurusha wahamiaji haramu na kuthibiti utoaji misaada kwa nchi masikini za dunia ya tatu

Karata yangu miye pia napa mwamba Donald Trump kushinda na kuibuka kidedea kwenye uchaguzi wa leo

Comasava

Uchaguzi huu unaweza amriwa na kura kidogo kama 50,000.

Kuna kura 200,000 za wapinga vita ambao walikuwa ni trade mark ya democrats hao wameamua this time atawatambua:

Kamala Harris alikumbuka shuka kukiwa kumekucha!

Somo murua kwa walio madarakani kujua wenye nchi wananchi!
 
Am all in for Donald Trump. The liberals wanatuharibia Dunia in some points
 
Uchaguzi huu unaweza amriwa na kura kidogo kama 50,000.

Kuna kura 200,000 za wapinga vita ambao walikuwa ni trade mark ya democrats hao wameamua this time atawatambua:

Kamala Harris alikumbuka shuka kukiwa kumekucha!

Somo murua kwa walio madarakani kujua wenye nchi wananchi!
KWenye hii issue trump anaweza poteza kura nyingi, japo yeye alisema anamaliza vita kiujumla middle east, ila kitendo cha kutospecify gaza na ile issue ya kuhamisha ubalozi anaweza liwa kichwa kimasihara hivihivi.
 
KWenye hii issue trump anaweza poteza kura nyingi, japo yeye alisema anamaliza vita kiujumla middle east, ila kitendo cha kutospecify gaza na ile issue ya kuhamisha ubalozi anaweza liwa kichwa kimasihara hivihivi.

Kwenye issue hii Kuna die hard democrats

wamedhamiria kumtia adabu Harris:

IMG_20241104_161447.jpg


IMG_20241104_161524.jpg


IMG_20241104_161602.jpg


Somo zuri sana kwa hakika kwa wasiowasikiliza wapiga kura.
 
Back
Top Bottom