Unaelewa unachoongea au unaongea ili mradi tu?China haiwezi kuwa hapo ilipo bila marekani, na Marekani haiwezi kuwa hapo ilipo bila China. Hiyo graph will never change.
Ndio huzielewi na ndo maana hata nilichoandika hujakielewaKessy kama za pdidy ndiyo zinaweza kusababisha nchi isiwe superpower?
Hoja za JF siku hizi sizielewi kabisa!
Angalau umeelewakati ya trump na kamalla, kwa future ya marekani bora ashinde TRUMP, yule maza cheka cheka ataingizwa chaka na wahuni kama anavyoingiza maza yenu huku, na USA itaanza kuwa ya hovyo, isiyotawalika, uhuni utazidi, magenge yatazidi, wahamiaji watazidi,na uchumi utaanza kuathirika, baada ya muda CHINA ana take over u superpower.
Shida hao wamarekani wanaopiga kura leo sio wanao amua kua rais awe naniZa chini chini hadi sasa Trump anakimbiza vibaya
Put in yupi😀😀 Putin anatafuta huruma ya trump
Si lile joka la kibisaShida hao wamarekani wanaopiga kura leo sio wanao amua kua rais awe nani
Put in yupi
Trump anachukua.Marekani kuanguka sio jambo la kesho au kesho kutwa...
Ila hujatuambia Kamala atachangia vipi kuiangusha Marekani.
Hukunaga za chinichini, kila kitu ni out in the openZa chini chini hadi sasa Trump anakimbiza vibaya
Ila mna kazi sana hii miaka aisee mmesahau kwamba huyo Trampu alishaga waita ma ShitHallsMimi ni shabiki wa Trump lialia, lkn Kamala anashinda na ndio mwisho wa dola ya Marekani
Marekani kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa very very weak.
China ndio superpower ajaye.
Ray Dalio aliwahi kutabiri anguko la Marekani na kwenye kitabu chake cha "New World Order" alionesha namna trend za hizi super powers zinavyokua na kupotea. Marekani ipo mwishoni mwake, na kwa super powers wengi wakifikia hapo basi raia zake wanakuwa wameendekeza ujinga, zinaa, uhuni, na hao ndio watapigia kura mtu asie na uwezo na kumuweka madarakani.
Trump atashindwa sio kwamba hana uwezo, lkn ni kwamba USA does no longer deserve a president like him.
Goodbye America, Welcome China.
Pia soma:
LIVE - Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
Si lile joka la kibisa
Kafanyaje? BidenLile li biden
Haya utarudi kwenye comment hapa. Huyo Mama ndo Rais ajaye sio kwamba namsifia ila kuna agenda nyuma yake.Hashindii
Ameshinda kwa vipi ? Hukumu ya mahakama ilisemaje? Ben Carson sio mahakama. Kwa CV ya Trump, angekuwa anaomba ajira serikali ya Marekani, asingeajiriwa. Ni ajabu sana mpaka anafikia kugombea uraisi, bila ya kujali kuwa atashinda au la.Trump sio criminal, he was criminalized but he won.
Angekua mhalifu usingewaona watu upright kama Dr. Ben Carson wanampigia chapuo
Mhalifu ni Kamala na genge lake lililopo kwenye Epstein list
Hapana dunia ina hitaji watu kama trumpNadhani humjui vizuri Trump na sera zake. Vyote alivyoandika viko kinyume.
Hapana dunia ina hitaji watu kama truNadhani humjui vizuri Trump na sera zake. Vyote alivyoandika viko kinyume.
FungukaNina hakika huna uelewa wa yanayoendelea kwenye ishu ya uhamiaji marekani.
Hivyo sitaipa kwa uzito wake maoni yako.
Nayachukulia kama sehemu ya burudani tu.
Wewe wacha ukondoo, toka lini Trump akawa nduguyo?Aman iwe nanyi wapendwa katika BWANA
Yakiwa yamebaki masaa machache sana ili uchaguz ufanyike nchini Marekani
Mimi pia naona kwamba yamebakia masaa machache sana pia ili ndugu yangu Donald trump aweze kutangazwa mshindi wa urais wa America
Mimi namtakia ushindi mwema
Mimi namtakia Urais mwema
Mimi namtakia awamu njema
Mimi namtakia maisha
Asanten
Beira boy
Nanyupu
PIA SOMA
- Ujue uchaguzi wa Marekani (USA) na jinsi rais wake anavyochaguliwa
Sema kondoo mnamuhitaji awachunge.Hapana dunia ina hitaji watu kama trump
Trump ndiye rais ajaye wa Marekani.Mimi ni shabiki wa Trump lialia, lkn Kamala anashinda na ndio mwisho wa dola ya Marekani
Marekani kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa very very weak.
China ndio superpower ajaye.
Ray Dalio aliwahi kutabiri anguko la Marekani na kwenye kitabu chake cha "New World Order" alionesha namna trend za hizi super powers zinavyokua na kupotea. Marekani ipo mwishoni mwake, na kwa super powers wengi wakifikia hapo basi raia zake wanakuwa wameendekeza ujinga, zinaa, uhuni, na hao ndio watapigia kura mtu asie na uwezo na kumuweka madarakani.
Trump atashindwa sio kwamba hana uwezo, lkn ni kwamba USA does no longer deserve a president like him.
Goodbye America, Welcome China.
Pia soma:
LIVE - Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
Namaanisha JF siku hizi hakuna watu wenye uelewa wanaochangia mijadala, mmebaki watoto tu mnashabikia ujinga.Ndio huzielewi na ndo maana hata nilichoandika hujakielewa