Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Nani atashinda uchaguzi USA November 5, 2024?

  • Republicans (Donald Trump)

  • Democrats (Kamala Harris)


Results are only viewable after voting.
.
 

Attachments

  • Screenshot_20241106-081507-1.jpg
    Screenshot_20241106-081507-1.jpg
    162.9 KB · Views: 2
Mpaka Saa tatu unusu kîla kitu kitakuwa bayana.

Hatoboi.
Majimbo Saba tayari Kura Zake zimehasabiwa Kwa Asilimia 90 na trump ndiye anaongoza. Unategemea nini
Mpaka Saa tatu unusu kîla kitu kitakuwa bayana.

Hatoboi.
Majimbo Saba tayari Kura Zake zimehasabiwa Kwa Asilimia 90 na trump ndiye anaongoza. Unategemea nini
Uchaguzi una mengi mkuu....ngoja wahesabu angalau 90% ndio tuhitimishe
 
Mmh
Mbona hii bado
Wanamchelewesha tu kumtangaza kisha shinda na pia huko Wisconsin kuna EC 10 zitakuwa 246+10=256 Yuko mbioni pia kushinda na huko Michigan mpaa mda hu anaongoza lakini bado sana kujuwa mshindi hapo kuna 15 EC sidhani hicho kibaniani kitashinda. Akishinda Michigan wachana na Arizona pia anaongoza atakuwa ana 256+15=271 Yule baniani hana chance ya kushinda na Arizona 11 EC itakuwa 282 na bado kwingine huyo banianiani ataishia kwenye chini ya 248 EC haendi zaidi ya hapo.
 
Back
Top Bottom