Kila muda nikilima nani atawazalisha dada zako ?Huo muda si ungetafuta shamba ulime?
Lima wewee na upanue wigo mpana acha porojo jamvin.Kila muda nikilima nani atawazalisha dada zako ?
Imeisha hyo tena kimya kimya na hii ndio tanzania wepes kudandia matukio na wepesi kusahau matukioHivi hii kesi imesimama au inaendelea?
Umemshauri vizuri, akipanuliwa wigo wa kilimo atapata mapatoLima wewee na upanue wigo mpana acha porojo jamvin.
Nyau ww
Kweli asee hapo awali kila sehemu ilikuwa ndo ajenda sasahiv hata mzee wa yanayojiri apa ameshindwa kujua muendelezo ngoma imeyeyuka juu kwa juuImeisha hyo tena kimya kimya na hii ndio tanzania wepes kudandia matukio na wepesi kusahau matukio
Mahakama ya baba yao?.Imeisha hyo tena kimya kimya na hii ndio tanzania wepes kudandia matukio na wepesi kusahau matukio
Haya tuambie, wamefungwa hawajafungwa?Hawafungwi hao amini nawaambia
Mmekomaa sana watatoka watatoka. Mna maslahi nao?Lazima tu wakate rufaaa na mara ya mwisho watatoka
JIPE MOYO.Lazima tu wakate rufaaa na mara ya mwisho watatoka