Yanayojiri kesi ya "Binti wa Yombo": Daktari aliyempima Binti aliyebakwa na Maafisa wa Jeshi atoa ushahidi Mahakamani

Yanayojiri kesi ya "Binti wa Yombo": Daktari aliyempima Binti aliyebakwa na Maafisa wa Jeshi atoa ushahidi Mahakamani

Isijekuwa hao vijana ndiyo kitengo cha wafinyaji?

Tutayasikia na kuyaona mengi mwaka huu wa uchaguzi.
 
Walifuata

ujinga mkubwa ni wa kwao wenyewe, utatumwa vipi kwenda kufanya uchafu huo na wewe ukubali? Wote ni watu wazima na akili zao kwa hivyo jukumu ni la kwao wenyewe.

Huyo Fatuma yake ni mengine, lakini lawama ziende kwa hao vijana wenyewe waliokuwa wakishabikia ujinga wao na kujirekodi kabisa. Na ujinga mkubwa kabisa ni ule wa kusambaza ule ujinga kwa kujitakia umaarufu. Sasa umaarufu wameupata kiulaini, na tunatarajia utafuatiwa na mvua siyo chini ya 30.
Ila ni kweli mtu mwenye akili timamu hawezi akakubali kutumwa kwenda kufanya kitu cha kipumbavu.
Japo inategemea pia huyo mwanamke aliyewatuma ushiriki wake ulikuwa ni wa kiasi gani na kuna ushahidi gani utakaoonyesha kwamba ana ushiriki kwenye hilo jambo vinginevyo anawaruka tu
 
Update (Agosti 21, 2024)

Mtaalamu wa Mawasiliano, Daktari Watoa Ushahidi Kesi ya Ubakaji wa Binti wa Yombo


Kesi inayowakabili watuhumiwa wanne wanaotuhumiwa kwa makosa ya ulawiti na ubakaji kwa binti ambaye ni mkazi wa Yombo Dar es salaam, imeendelea kusikilizwa leo Agosti 21,2024, ikiwa ni siku ya tatu toka kesi hiyo ianze kusikilizwa mfululizo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma.

Akizungumza baada ya kesi hiyo kuahirishwa mpaka kesho saa nne asubuhi Wakili wa watuhumiwa Godfrey Mwasonga amesema mwendendo wa kesi hiyo ni tofauti na namna inavyo ongelewa mtandaoni na kusisitiza kwamba ni hamsini kwa hamsini yaani yeyote anaweza kushindwa au kushinda.

Wakili Wasonga amesema shughuli ya leo ilikuwa ni kusikiliza mashahidi wawili.

"Leo tulikua tunamalizia ushahidi wa jana ambapo bwana Alfred alikuwa anaendelea kutoa ushahidi wake, yeye ni mtaalamu wa mambo ya uchunguzi wa kisayansi wa simu [mambo ya mtandao] kutoka makao makuu ya Polisi Dar es Salaam, amemalizia na Mawakili tumepata nafasi ya kumhoji kwa niaba ya washtakiwa," alieleza Godfrey Wasonga.

"Na tulikuwa na shahidi mwingine ambaye ni Daktari, anasema alimpima mgonjwa, yeye tumefanya naye mahojiano kuanzia saa tisa mpaka saa kumi," alifafanua zaidi Wasonga.

Kesi hiyo itaendelea kesho saa nne subuhi. Watuhumiwa waliofikishwa mahakamani ni wanne kati ya sita ambao ni Mt. 140105 Clinton Honest Damas maarufu Nyundo, Amin Lord Lema, Nickson Idala Jackson na C. 1693 Praygod Edwin Mushi.

Update (Agosti 20, 2024)

Washitakiwa warejeshwa lumande


Washtakiwa wanne katika kesi ya ulawiti na ubakaji wa binti wa Yombo ambaye video yake ilisambaa mitandaoni akifanyiwa ukatili huo wakiwemo Askari wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Magereza, wamerudishwa rumande mara baada ya kesi yao kusikilizwa kwa mara ya pili hii leo Agosti 20.

Waliofikishwa mahakamani katika kesi hiyo ni askari wa JWTZ - MT.140105 Clinton Damas, askari Magereza - C.1693 Praygod Mushi, Lord Lema na Nickson Jackson.

Update

Shahidi mmoja asikilizwa


Wakili wa upande wa utetezi Meshack Ngamando, wa kesi ya ubakaji na ulawiti wa binti wa Yombo inayowakabili watu wanne wakiwemo Askari wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Magereza, amesema kwamba kesi hiyo imeendelea hii leo na imeanza kwa kusikilizwa kwa shahidi mmoja.

Wakili Ngamando amesema mashahidi kwa siku ya leo walikuwa watano lakini kutokana na muda ni shahidi mmoja pekee ndiye aliyewezwa kusikilizwa.

"Kesi inasikilizwa vizuri na hakuna shida yoyote, wananchi tuwe na utulivu tusikilize kesi nina imani kwamba haki itatendeka," amesema Wakili wa upande wa utetezi.

Update

Saa 6:33 PM (saa kumi na mbili na dk 33) - Mahakama ilisimama kwaajili ya watuhumiwa hao kupata chakula na kuendelea tena 7:30 PM (Saa moja na nusu usiku)

====


Watuhumiwa wanne wakiwamo askari wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Magereza wanaotuhumiwa kwa ubakaji kwa kikundi na kumwingilia kinyume na maumbile binti wa Yombo Dovya jijini Da es Salaam, wameingia chumba cha Mahakama.

Kesi hiyo iliyokuwa imepangwa kuanza saa 8:00 mchana wa leo Jumanne, Agosti 20, 2024 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, wameingia kwenye chumba cha Mahakama saa 10:20 jioni.

Watuhumiwa hao wanaodaiwa ‘kutumwa na afande’ ni askari wa JWTZ MT.140105 Clinton Damas, askari Magereza C.1693 Praygod Mushi, Lord Lema na Nickson Jackson.

Zaidi soma hapa: Mrakibu Msaidizi wa Polisi Fatuma Kigondo afunguliwa shtaka la kutuma vijana kufanya ukatili kwa binti wa Yombo

Awali, watuhumiwa hao waliingia kwenye chumba cha Mahakama saa 9 alasiri lakini walirudishwa tena ili wazungumze na mawakili wanaowatetea kabla ya kuanza kusikilizwa kwa kesi.

Aidha waandishi wa habari wamezuiwa kuingia kwenye chumba cha Mahakama wakati kesi inaendelea wala kupiga picha watuhumiwa wakiwa kwenye korido za mahakamani huku wakiambiwa wasubiri watoke nje ndiyo wawapige picha.

Bado haijajulikana idadi ya mawakili wanaowatetea wala majina yao lakini wameshafika mahakamani kwa ajili ya kuwatetea watuhumiwa hao.

Jana Jumatatu, watuhumiwa hao walipandishwa kwa mara ya kwanza mahakamani hapo na kusomewa mashtaka mawili ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume na maumbili binti huyo.

Pia soma: Watu 4 wanaotuhumiwa ‘kutumwa na afande’ kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya Mkoani Dar, Wafikishwa Mahakamani

Mkurugenzi Msaidizi kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka, Makao Makuu, Renatus Mkude alisema kesi hiyo itasikilizwa kwa siku nne mfululizo kuanza leo hadi Ijumaa, Agosti 23, 2024.
uwakili nao ni kazi ya hovyo, kuwatetea walawiti na wabakaji. na wauaji
 
Mimi sijui kesi zinaendeshwaje lakini najiulizaga mtu kitendo kinaonekana kakifanya hapo anatetewa Nini 🤔 kwanza hata wewe wakili wa watuhumiwa unatetea uovu kisa pesa🥺
Watajifanya kwamba video imeeditiwa/feki na kesi inaweza kuzungushwa hata miaka mitatu hadi watu tutasahau
 
Kesi za ubakaji hazitegemei ushahidi wa moja kwa moja.

Siyo mwanasheria mimi lakini nawasoma watu huko nje wakienda jela, japo kiduchu, kwa kesi za ubakaji, wengine mpaka leo wapo jela.

Ubakaji imekuwa ni chombo kikubwa kinachotumika kivita za walimwengu.
 
hapo hakuna kesi ya ubakaji wa ulawiti bali naona kuna kosa la kusambaza picha za ngono kwenye mitandao ya kijamii.
Mbona hata ueleweki ulichoeleza hapa.
Kwani hiyo ndio picha ya kwanza kusambazwa mtandaoni?
Wakina Ambaruty,Gigy money,Mwijaku na wengine wengi walishasambaza na wapo tu mitaani wanaishi bila bughudha wala kesi yoyote
 
Update (Agosti 21, 2024)

Mtaalamu wa Mawasiliano, Daktari Watoa Ushahidi Kesi ya Ubakaji wa Binti wa Yombo


Kesi inayowakabili watuhumiwa wanne wanaotuhumiwa kwa makosa ya ulawiti na ubakaji kwa binti ambaye ni mkazi wa Yombo Dar es salaam, imeendelea kusikilizwa leo Agosti 21,2024, ikiwa ni siku ya tatu toka kesi hiyo ianze kusikilizwa mfululizo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma.

Akizungumza baada ya kesi hiyo kuahirishwa mpaka kesho saa nne asubuhi Wakili wa watuhumiwa Godfrey Mwasonga amesema mwendendo wa kesi hiyo ni tofauti na namna inavyo ongelewa mtandaoni na kusisitiza kwamba ni hamsini kwa hamsini yaani yeyote anaweza kushindwa au kushinda.

Wakili Wasonga amesema shughuli ya leo ilikuwa ni kusikiliza mashahidi wawili.

"Leo tulikua tunamalizia ushahidi wa jana ambapo bwana Alfred alikuwa anaendelea kutoa ushahidi wake, yeye ni mtaalamu wa mambo ya uchunguzi wa kisayansi wa simu [mambo ya mtandao] kutoka makao makuu ya Polisi Dar es Salaam, amemalizia na Mawakili tumepata nafasi ya kumhoji kwa niaba ya washtakiwa," alieleza Godfrey Wasonga.

"Na tulikuwa na shahidi mwingine ambaye ni Daktari, anasema alimpima mgonjwa, yeye tumefanya naye mahojiano kuanzia saa tisa mpaka saa kumi," alifafanua zaidi Wasonga.

Kesi hiyo itaendelea kesho saa nne subuhi. Watuhumiwa waliofikishwa mahakamani ni wanne kati ya sita ambao ni Mt. 140105 Clinton Honest Damas maarufu Nyundo, Amin Lord Lema, Nickson Idala Jackson na C. 1693 Praygod Edwin Mushi.

Update (Agosti 20, 2024)

Washitakiwa warejeshwa lumande


Washtakiwa wanne katika kesi ya ulawiti na ubakaji wa binti wa Yombo ambaye video yake ilisambaa mitandaoni akifanyiwa ukatili huo wakiwemo Askari wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Magereza, wamerudishwa rumande mara baada ya kesi yao kusikilizwa kwa mara ya pili hii leo Agosti 20.

Waliofikishwa mahakamani katika kesi hiyo ni askari wa JWTZ - MT.140105 Clinton Damas, askari Magereza - C.1693 Praygod Mushi, Lord Lema na Nickson Jackson.

Update

Shahidi mmoja asikilizwa


Wakili wa upande wa utetezi Meshack Ngamando, wa kesi ya ubakaji na ulawiti wa binti wa Yombo inayowakabili watu wanne wakiwemo Askari wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Magereza, amesema kwamba kesi hiyo imeendelea hii leo na imeanza kwa kusikilizwa kwa shahidi mmoja.

Wakili Ngamando amesema mashahidi kwa siku ya leo walikuwa watano lakini kutokana na muda ni shahidi mmoja pekee ndiye aliyewezwa kusikilizwa.

"Kesi inasikilizwa vizuri na hakuna shida yoyote, wananchi tuwe na utulivu tusikilize kesi nina imani kwamba haki itatendeka," amesema Wakili wa upande wa utetezi.

Update

Saa 6:33 PM (saa kumi na mbili na dk 33) - Mahakama ilisimama kwaajili ya watuhumiwa hao kupata chakula na kuendelea tena 7:30 PM (Saa moja na nusu usiku)

====


Watuhumiwa wanne wakiwamo askari wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Magereza wanaotuhumiwa kwa ubakaji kwa kikundi na kumwingilia kinyume na maumbile binti wa Yombo Dovya jijini Da es Salaam, wameingia chumba cha Mahakama.

Kesi hiyo iliyokuwa imepangwa kuanza saa 8:00 mchana wa leo Jumanne, Agosti 20, 2024 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, wameingia kwenye chumba cha Mahakama saa 10:20 jioni.

Watuhumiwa hao wanaodaiwa ‘kutumwa na afande’ ni askari wa JWTZ MT.140105 Clinton Damas, askari Magereza C.1693 Praygod Mushi, Lord Lema na Nickson Jackson.

Zaidi soma hapa: Mrakibu Msaidizi wa Polisi Fatuma Kigondo afunguliwa shtaka la kutuma vijana kufanya ukatili kwa binti wa Yombo

Awali, watuhumiwa hao waliingia kwenye chumba cha Mahakama saa 9 alasiri lakini walirudishwa tena ili wazungumze na mawakili wanaowatetea kabla ya kuanza kusikilizwa kwa kesi.

Aidha waandishi wa habari wamezuiwa kuingia kwenye chumba cha Mahakama wakati kesi inaendelea wala kupiga picha watuhumiwa wakiwa kwenye korido za mahakamani huku wakiambiwa wasubiri watoke nje ndiyo wawapige picha.

Bado haijajulikana idadi ya mawakili wanaowatetea wala majina yao lakini wameshafika mahakamani kwa ajili ya kuwatetea watuhumiwa hao.

Jana Jumatatu, watuhumiwa hao walipandishwa kwa mara ya kwanza mahakamani hapo na kusomewa mashtaka mawili ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume na maumbili binti huyo.

Pia soma: Watu 4 wanaotuhumiwa ‘kutumwa na afande’ kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya Mkoani Dar, Wafikishwa Mahakamani

Mkurugenzi Msaidizi kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka, Makao Makuu, Renatus Mkude alisema kesi hiyo itasikilizwa kwa siku nne mfululizo kuanza leo hadi Ijumaa, Agosti 23, 2024.
Hivi hawa askari wa magereza, polisi na JWTZ huwa wanavutishwa bangi? Mbona wanafanya vitendo vya kikwuma sana?
 
Wahuni sana hao jamaa, wamemshibisha binti wa watu mimbegu yao had akataka kutapika - yaani wale mvua za kutosha wakafie gerezani.

Afu stelingi wao wa ufedhuri huu ajitokeze kwa hiari - hatujamsahau bado.
 
Kesi za ubakaji hazitegemei ushahidi wa moja kwa moja.

Siyo mwanasheria mimi lakini nawasoma watu huko nje wakienda jela, japo kiduchu, kwa kesi za ubakaji, wengine mpaka leo wapo jela.

Ubakaji imekuwa ni chombo kikubwa kinachotumika kivita za walimwengu.
Kwenda zako huko. Nenda ukale kitimoto
 
sijui chochote kuhusu sheria ninachokumbuka huko Amerika mara kina P didy walipelekewa kesi zina mamiaka wakahaha kina R Kelly alifungwa mpaka na kesi za mamiaka kina Michael Jack alipona pona sijajua hii ya bongo nyoso
 
Update (Agosti 21, 2024)

Mtaalamu wa Mawasiliano, Daktari Watoa Ushahidi Kesi ya Ubakaji wa Binti wa Yombo


Kesi inayowakabili watuhumiwa wanne wanaotuhumiwa kwa makosa ya ulawiti na ubakaji kwa binti ambaye ni mkazi wa Yombo Dar es salaam, imeendelea kusikilizwa leo Agosti 21,2024, ikiwa ni siku ya tatu toka kesi hiyo ianze kusikilizwa mfululizo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma.

Akizungumza baada ya kesi hiyo kuahirishwa mpaka kesho saa nne asubuhi Wakili wa watuhumiwa Godfrey Mwasonga amesema mwendendo wa kesi hiyo ni tofauti na namna inavyo ongelewa mtandaoni na kusisitiza kwamba ni hamsini kwa hamsini yaani yeyote anaweza kushindwa au kushinda.

Wakili Wasonga amesema shughuli ya leo ilikuwa ni kusikiliza mashahidi wawili.

"Leo tulikua tunamalizia ushahidi wa jana ambapo bwana Alfred alikuwa anaendelea kutoa ushahidi wake, yeye ni mtaalamu wa mambo ya uchunguzi wa kisayansi wa simu [mambo ya mtandao] kutoka makao makuu ya Polisi Dar es Salaam, amemalizia na Mawakili tumepata nafasi ya kumhoji kwa niaba ya washtakiwa," alieleza Godfrey Wasonga.

"Na tulikuwa na shahidi mwingine ambaye ni Daktari, anasema alimpima mgonjwa, yeye tumefanya naye mahojiano kuanzia saa tisa mpaka saa kumi," alifafanua zaidi Wasonga.

Kesi hiyo itaendelea kesho saa nne subuhi. Watuhumiwa waliofikishwa mahakamani ni wanne kati ya sita ambao ni Mt. 140105 Clinton Honest Damas maarufu Nyundo, Amin Lord Lema, Nickson Idala Jackson na C. 1693 Praygod Edwin Mushi.

Update (Agosti 20, 2024)

Washitakiwa warejeshwa lumande


Washtakiwa wanne katika kesi ya ulawiti na ubakaji wa binti wa Yombo ambaye video yake ilisambaa mitandaoni akifanyiwa ukatili huo wakiwemo Askari wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Magereza, wamerudishwa rumande mara baada ya kesi yao kusikilizwa kwa mara ya pili hii leo Agosti 20.

Waliofikishwa mahakamani katika kesi hiyo ni askari wa JWTZ - MT.140105 Clinton Damas, askari Magereza - C.1693 Praygod Mushi, Lord Lema na Nickson Jackson.

Update

Shahidi mmoja asikilizwa


Wakili wa upande wa utetezi Meshack Ngamando, wa kesi ya ubakaji na ulawiti wa binti wa Yombo inayowakabili watu wanne wakiwemo Askari wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Magereza, amesema kwamba kesi hiyo imeendelea hii leo na imeanza kwa kusikilizwa kwa shahidi mmoja.

Wakili Ngamando amesema mashahidi kwa siku ya leo walikuwa watano lakini kutokana na muda ni shahidi mmoja pekee ndiye aliyewezwa kusikilizwa.

"Kesi inasikilizwa vizuri na hakuna shida yoyote, wananchi tuwe na utulivu tusikilize kesi nina imani kwamba haki itatendeka," amesema Wakili wa upande wa utetezi.

Update

Saa 6:33 PM (saa kumi na mbili na dk 33) - Mahakama ilisimama kwaajili ya watuhumiwa hao kupata chakula na kuendelea tena 7:30 PM (Saa moja na nusu usiku)

====


Watuhumiwa wanne wakiwamo askari wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Magereza wanaotuhumiwa kwa ubakaji kwa kikundi na kumwingilia kinyume na maumbile binti wa Yombo Dovya jijini Da es Salaam, wameingia chumba cha Mahakama.

Kesi hiyo iliyokuwa imepangwa kuanza saa 8:00 mchana wa leo Jumanne, Agosti 20, 2024 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, wameingia kwenye chumba cha Mahakama saa 10:20 jioni.

Watuhumiwa hao wanaodaiwa ‘kutumwa na afande’ ni askari wa JWTZ MT.140105 Clinton Damas, askari Magereza C.1693 Praygod Mushi, Lord Lema na Nickson Jackson.

Zaidi soma hapa: Mrakibu Msaidizi wa Polisi Fatuma Kigondo afunguliwa shtaka la kutuma vijana kufanya ukatili kwa binti wa Yombo

Awali, watuhumiwa hao waliingia kwenye chumba cha Mahakama saa 9 alasiri lakini walirudishwa tena ili wazungumze na mawakili wanaowatetea kabla ya kuanza kusikilizwa kwa kesi.

Aidha waandishi wa habari wamezuiwa kuingia kwenye chumba cha Mahakama wakati kesi inaendelea wala kupiga picha watuhumiwa wakiwa kwenye korido za mahakamani huku wakiambiwa wasubiri watoke nje ndiyo wawapige picha.

Bado haijajulikana idadi ya mawakili wanaowatetea wala majina yao lakini wameshafika mahakamani kwa ajili ya kuwatetea watuhumiwa hao.

Jana Jumatatu, watuhumiwa hao walipandishwa kwa mara ya kwanza mahakamani hapo na kusomewa mashtaka mawili ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume na maumbili binti huyo.

Pia soma: Watu 4 wanaotuhumiwa ‘kutumwa na afande’ kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya Mkoani Dar, Wafikishwa Mahakamani

Mkurugenzi Msaidizi kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka, Makao Makuu, Renatus Mkude alisema kesi hiyo itasikilizwa kwa siku nne mfululizo kuanza leo hadi Ijumaa, Agosti 23, 2024.
 
Hivi kwa video clip ile hawa mawakili wa utetezi watamshawishi vipi hakimu kuwa lile alikuwa KOSA? NA WAACHIE HURU WATEJA WAKE?
maana hyo kesi kwenye ubakaji ipo,kwenye ulawiti ipo,kwenye utekaji ipo,kwenye makosa ya mitandaoni ipo.
Watatokea wapi?
IWE FUNDISHO KWETU.kila mtu aheshimu sheria.hakuna mbabe.
 
Unapoingia mahabusu kwa mara ya kwanza uwa unahisi unaweza ukatoka kesho.ila bwana weee.
Kule hakuna mjanja unaona mwamba nyundo anavyoanza kupoteza nuru mdogo mdogo?
 
ujinga mkubwa ni wa kwao wenyewe, utatumwa vipi kwenda kufanya uchafu huo na wewe ukubali? Wote ni watu wazima na akili zao kwa hivyo jukumu ni la kwao wenyewe.

Huyo Fatuma yake ni mengine, lakini lawama ziende kwa hao vijana wenyewe waliokuwa wakishabikia ujinga wao na kujirekodi kabisa. Na ujinga mkubwa kabisa ni ule wa kusambaza ule ujinga kwa kujitakia umaarufu. Sasa umaarufu wameupata kiulaini, na tunatarajia utafuatiwa na mvua siyo chini ya 30.
Kweli.kulikuwa na haja gani ya kujirekodi?
Kama adhabu walishampa
 
Back
Top Bottom