mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,527
- 2,469
Bila Halima Mdee, Esther Bulaya, na Esther Matiko, Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA hakijakamilika kinapwaya mnoMakamanda wametokelezea na kombati zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila Halima Mdee, Esther Bulaya, na Esther Matiko, Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA hakijakamilika kinapwaya mnoMakamanda wametokelezea na kombati zao
Hao ndiyo walikuwa na kazi gani kamati kuu?Bila Halima Mdee, Esther Bulaya, na Esther Matiko, Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA hakijakamilika kinapwaya mno
Unajitoa ufahamu siyo?Hao ndiyo walikuwa na kazi gani kamati kuu?
Mkuu leo hutoi live updates umepumzika au nafasi kachukua mtu..?Mungu ibariki Chadema
Tuleteeni hizo updates mkuu. Msiwe tu mnakimbilia kuwa Wa kwanza kuanzisha Uzi alafu kisha mnatuacha hewani haipendeziKikao cha Kamati Kuu ya chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ikiendelea muda huu, ikiongozwa na Mh. Freeman Mbowe muda huu.
Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama wakiwa ukumbini wakifuatilia hotuba ya ufunguzi wa kikao hicho iliyotolewa na Mwenyekiti Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe.
View attachment 2152766
View attachment 2152754View attachment 2152755View attachment 2152756
View attachment 2152765
Kwani wanakaa chini ya mtiChama ni watu pamoja na vitendea kazi, huwezi kukwepa majengo.
... hilo limaitwa vazi la ukombozi kaka! Linaleta furaha penye huzuni; linaleta amani palipo na vurugu; linaleta mwanga penye giza! Hilo vazi hata Shetani linamtesa.Makamanda wametokelezea na kombati zao
IntelligencePolisi hawajaja kuzuia?
Sidhani kuwa una maana hiyo mkuu. "La maana kuliko yote"? Are you serious?COVID wafukuzwe kwanza hilo ndiyo la mhimu kuliko yote
Jaribu kuwa na lugha nzuri,haitakugharimu chochote.Chadema chama kinachoongoza kwa unafiki duniani Ushahidi ona iliyokaa kwenye kikao hakuna mwenye barakoa wala social distance na inajitia ohh Corona ipo!!!
Wanafiki wakubwa
Kwa kuweweseka huko nadhani unahitaji msada wa vidonge ili kupata usingizi.waandishi wa habari wakiita press conference kueleza waliyoongea waulizeni kwa nini hamkuvaa barakoa wala ku.keep social distance wakati nyie ni waumini wakubwa wa kusema Corona ipo mlitoka hadi bungeni ku ji Isolate kwa kusema Corona ipo kali
Bulaya yupo?Kikao cha Kamati Kuu ya chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ikiendelea muda huu, ikiongozwa na Mh. Freeman Mbowe muda huu.
Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama wakiwa ukumbini wakifuatilia hotuba ya ufunguzi wa kikao hicho iliyotolewa na Mwenyekiti Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe.
View attachment 2152766
View attachment 2152754View attachment 2152755View attachment 2152756
View attachment 2152765
Hiki ulichoandika kina uhusiano na Kikao cha kamati kuu ya Chadema kutovaa barakoa na ku keep social distance kikaoni kujikinga na Corona?Kwa kuweweseka huko nadhani unahitaji msada wa vidonge ili kupata usingizi.
- Numerous studies have found that insufficient sleep increases a person's risk of developing serious medical conditions, including obesity, diabetes, and cardiovascular disease.
- Lack of adequate sleep over time has been associated with a shortened lifespan.