Yanayojiri kwenye Kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA

Yanayojiri kwenye Kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA

Chadema chama kinachoongoza kwa unafiki duniani Ushahidi ona iliyokaa kwenye kikao hakuna mwenye barakoa wala social distance na inajitia ohh Corona ipo!!!

Wanafiki wakubwa
Eti Mbowe gaidi nyuso zimewashuka kwa haya
 
Wakuu any update!.
Hatari !

Yeremia_17%3A5_na_watu_wote_waseme_AMEN.!.jpg
 
CDM Ni taasisi kubwa Sasa na mifumo imara hakuna likage ya taarifa!
 
La msingi kujifunza kuhusu CDM ni hili, bila FAM hakuna CDM...angalau hata mkutano umeweza kufanyika sehemu rasmi na nzuri ukiwa well organized... FAM ndio kila kitu CDM...
 
Namuona kibaraka wa beberu anaendesha kikao akiwa jikoni.
 
Nimesoma sehemu fulani kwamba Kamati kuu ya Chadema kwa kauli moja imeamua kuwasamehe Halima Mdee na wenzake ili kujenga mshikamano ndani ya chama na kuponya majereha.

Habari hizi ni za kweli mh J J Mnyika?
 
Covid19 naijua njia za kulinda ni pamoja na kuvaa barakoa na Social distance kamati kuu hawajazingatia

Vichwa vya habari vya magazeti kama kweli wako serious na mapambano dhidi ya Corona wasihangaike kuandika kamati kuu Chadema ilisema nini waandike iuzembe wao waliofanya kutovaa barakoa na social distance

Sababu chukulia wametoka mikoa yote Tanzania nzima mmoja hapo akiwa na Corona sia ataambukiza kanda zote za wajomba na kwenda Kuua watu kanda au mkoa wake kwa Corona?. Hapo hoja kuu inatakiwa kuwa wajumbe hawakuvaa barakoa wala ku keep social distance kujilinda na Corona
Vipi kuhusu level siti kwenye daladala? Serikali inafuatilia kwa kiasi gani? Pia magari ya mikoani abiria wanavaa barakoa?

COVID19 ni kwa ajili ya wanasiasa tu?
 
join the chain njaa kali wanapanga namna ya kujaza matumbo yao tena, walifanya ujinga mkubwa sana 2015 ilikuwa ni nafasi pekee kuipa Tanzania uelekeo mpya.
 
Hivi hawanaga ukumbi wao hawa watu?
Hayo mamisaada wanayopewa na vyama rafiki+ruzuku wameshindwa kujenga hata ukumbi mpaka kila siku kufanyia vikao vyao hotelini?
Wakidukuliwa wanalalama...
 
Back
Top Bottom