Yanayojiri kwenye Kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA

Yanayojiri kwenye Kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA

Kikao cha Kamati Kuu ya chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ikiendelea muda huu, ikiongozwa na Mh. Freeman Mbowe muda huu.
Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama wakiwa ukumbini wakifuatilia hotuba ya ufunguzi wa kikao hicho iliyotolewa na Mwenyekiti Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe.

View attachment 2152766
View attachment 2152754View attachment 2152755View attachment 2152756

View attachment 2152765
Kamati inakutana siku ngapi mkuu.hadi sasa hakuna official statement yoyote ili tujue walichozungumza.Halafu mbona kikao kilimsubiri Mwenyekiti ina maana walijua angetoka karibuni?
 
Hivi hawanaga ukumbi wao hawa watu?
Hayo mamisaada wanayopewa na vyama rafiki+ruzuku wameshindwa kujenga hata ukumbi mpaka kila siku kufanyia vikao vyao hotelini?
Wakidukuliwa wanalalama...
Mbona kile chama kingine kinafanyia vikao vyao " sehemu takatifu" na husemi kwanini watumie pa wote wakati ruzuku wanajilipa watakavyo?
 
Hivi hawanaga ukumbi wao hawa watu?
Hayo mamisaada wanayopewa na vyama rafiki+ruzuku wameshindwa kujenga hata ukumbi mpaka kila siku kufanyia vikao vyao hotelini?
Wakidukuliwa wanalalama...
wewe mbona baba yako hana nyumb na wala hana mke!😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Dada kubali hawara yako kafa na hatorudi tena. Hizi nguvu unazotumia kumtetea ni kazi bure maana wala hasikii lolote na funza washammaliza kabaki mifupa tupu.

Focus on your business madame Fashisti hayupo tena....
Hadi mama Janet kanenepa
 
Hiki ulichoandika kina uhusiano na Kikao cha kamati kuu ya Chadema kutovaa barakoa na ku keep social distance kikaoni kujikinga na Corona?
NDIO.
Tulia ILI upate usingizi wa kutosha UWEZE kutunza afya yako.
 
Hiki ulichoandika kina uhusiano na Kikao cha kamati kuu ya Chadema kutovaa barakoa na ku keep social distance kikaoni kujikinga na Corona?
NDIO.
Tulia ILI upate usingizi wa kutosha UWEZE kutunza afya yako.
 
Mnakosea sana, vile viwanja sio vya ccm ni vyetu. Ccm hakijawahi kujenga kiwanja chochote cha mpira wala hata ofisi hawajawahi kujenga vyote wanavyotumia ni vya wananchi. Take that please.
Uko sawa HAWAJAWAHI
 
Back
Top Bottom