Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Eti Mbowe gaidi nyuso zimewashuka kwa hayaChadema chama kinachoongoza kwa unafiki duniani Ushahidi ona iliyokaa kwenye kikao hakuna mwenye barakoa wala social distance na inajitia ohh Corona ipo!!!
Wanafiki wakubwa
Yeremia 17:5
AminaYeremia 17:5
Zoom meeting ina ukumbi? maza ako, shame on youHalafu pesa ya kulipia huo ukumbi inatoka wapi? Pumbavu!
Mods huyu anatukanaHalafu pesa ya kulipia huo ukumbi inatoka wapi? Pumbavu!
Aibu kubwa snGPO kaka...!! acha kabisa.
Wote wamechanja.Jibu hoja wewe kwa nini hamjavaa barakoa na ku keep social distance wakati nyie ndie mlijitia Corona ipo kibao Tanzania? Walk the talk
Vipi kuhusu level siti kwenye daladala? Serikali inafuatilia kwa kiasi gani? Pia magari ya mikoani abiria wanavaa barakoa?Covid19 naijua njia za kulinda ni pamoja na kuvaa barakoa na Social distance kamati kuu hawajazingatia
Vichwa vya habari vya magazeti kama kweli wako serious na mapambano dhidi ya Corona wasihangaike kuandika kamati kuu Chadema ilisema nini waandike iuzembe wao waliofanya kutovaa barakoa na social distance
Sababu chukulia wametoka mikoa yote Tanzania nzima mmoja hapo akiwa na Corona sia ataambukiza kanda zote za wajomba na kwenda Kuua watu kanda au mkoa wake kwa Corona?. Hapo hoja kuu inatakiwa kuwa wajumbe hawakuvaa barakoa wala ku keep social distance kujilinda na Corona
He, unachochea wanawake wenzio wamwagiwe ulaji wao hivihivi? Kweli mwenye nchi ndiye mbomoa nchi.Wale wabunge wa yule mtu itakuwaje
Nimechochea wapi, usinilazimishe kulewa ulichovutaHe, unachochea wanawake wenzio wamwagiwe ulaji wao hivihivi? Kweli mwenye nchi ndiye mbomoa nchi.
Haya, yaishe.Nimechochea wapi, usinilazimishe kulewa ulichovuta