LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Hawa wafia dini wairani hawana jipya hao labda kama wanemisi kukutanishwa na mabikira hewa wa peponi
 
Tuombe Mungu aepushe hili lipite maana both sides kuna madhara watapata makubwa hata sisi wa huku buseresere ndani ndani bei ya mafuta itatunyoosha TU

i Wonder where itakua battlefield ya huu mpambano maana ki jografia Iran hawashei mpaka na Israel ila Kuna mpumbavu mmoja ( Syria au Lebanon)anaenda kukalibisha vita sebureni mpaka chumbani mwake Kuna watoto wadogo na kina Mama wanaenda ku pay blood price ya hii vita very soon

Let us cheer up with popcorn waiting for movie 🎥
 
Hivi kuna uwezekano du ia ikaja kua haina vita hizi yani watu waishi tu? Maana tukiangalia historia ni kudundana tu toka enzi za mikuki
 
Upon completing the assessment, Minister Gallant emphasized that the defence establishment has completed preparations for responses in the event of any scenario that may develop vis-à-vis Iran," his office said.
The Chief of General Staff, Herzi Halevi, said Israel "knows how to deal with Iran - offensively and defensively".

"We know how to act forcefully against Iran in both near and distant places. We are operating in cooperation with the USA and strategic partners in the region," he said in televised remarks.




Na shida ni kuwa hii mbungi ikipigwa lazima USA nae aingie. Wacha tuone
Lakin Iran na US wana deal kwamba "shambulia lakini usiguse bases zangu na mimi sitoingilia kabisa...."
 
Hivi kuna uwezekano du ia ikaja kua haina vita hizi yani watu waishi tu? Maana tukiangalia historia ni kudundana tu toka enzi za mikuki
Wenye makampuni ya silaha watakula wapi mkuu?
 
Tuombe Mungu aepushe hili lipite maana both sides kuna madhara watapata makubwa hata sisi wa huku buseresere ndani ndani bei ya mafuta itatunyoosha TU

i Wonder where itakua battlefield ya huu mpambano maana ki jografia Iran hawashei mpaka na Israel ila Kuna mpumbavu mmoja ( Syria au Lebanon)anaenda kukalibisha vita sebureni mpaka chumbani mwake Kuna watoto wadogo na kina Mama wanaenda ku pay blood price ya hii vita very soon

Let us cheer up with popcorn waiting for movie [emoji327]
Kwa tension ya sasa sidhan kama litapita hivihivi labda mmoja hapo aamuwe kupigwa avunge
 
Kwa tension ya sasa sidhan kama litapita hivihivi labda mmoja hapo aamuwe kupigwa avunge
Israel kaanza ku withdraw vikosi vilivyo kua gaza kujiandaa na hii vita kubwa ambayo ipo mbele yake vita ambayo itabadilisha taswira ya middle East

Haijalishi Israel yupo vizuri kiasi gani kwenye counterintelligence kupitia MOSSAD ila kwa hii death shadow inayokuja bila kaka yake kuingilia kati Israel won't stand a chance atafanywa kitu haijawai tokea

Iran Syria iraq Lebanon Yemen wote wapotayali wanasubili D day maisha yamebadilika teknolojia imekua tuachane na story za vita ya 6 day hii inayo kuja mbele (Kama ikitokea) ni game changer kwenye history ya Vita vya middle East
 
Ziara ya mambo ya nje wa Iran inaashiria kuna jambo zito

Wachambuzi wanadai ni safari za kufanya mazungumzo na proxies wake wote na It seems that the final preparations and discussions are being held with the Axis of Resistance.

Lengo la hizi safari ni maandalizi ya kila upande kukaa tayari

Kinachomuumiza kichwa Iran ni jinsi gani ataishambulia Israel ili kuleta madhara maana Israel wana air defense nyingi na ambazo zinacover eneo kubwa sana la nchi yao na geographia ya eneo lao inawabeba sana..... Kipengele ni kuwa makombora yatalenga shabaha au yatatunguliwa yote? Jee Israel watajibu kwa namna gani?

Hili linanikumbusha ile hadithi ya Israel ilivyolenga kile kituo cha siri cha Nyuklia nadhani ilikua 2007 au 2008 hivi.....Sasa kwenye kujibu Syria walikua na machaguo kuwa watajibu vipi

Walitaka kuitia Israel adabu kwa kufyatua makombora 40 ya maangamizi (mass destruction weapons) maana syria wakati huo walikua na silaha za maangamizi tayari.....kipengele kikawa watajibu sawa reactions ya Israel itakuaje maana silaha za Sumu zina madhara makubwa sana Jee wakijibu na mabomu ya Nyuklia?Maana Israel anazo Silaha za nyuklia tokea zamani tu....Mwishowe Syria akaamua kuipotezea hiyo ishu tu
 
Israel kaanza ku withdraw vikosi vilivyo kua gaza kujiandaa na hii vita kubwa ambayo ipo mbele yake vita ambayo itabadilisha taswira ya middle East

Haijalishi Israel yupo vizuri kiasi gani kwenye counterintelligence kupitia MOSSAD ila kwa hii death shadow inayokuja bila kaka yake kuingilia kati Israel won't stand a chance atafanywa kitu haijawai tokea

Iran Syria iraq Lebanon Yemen wote wapotayali wanasubili D day
Israel akimalizana na Hamas ataelekea North kuwamaliza Hezbollah

Safari hii Jamaa kaamua kuondoa threat zote zinazomzunguka

Israel anataka huu mwaka awe amefyeka hawa watu wote ambao ni tishio kwake

Hezbollah huyu ndo anamnyima usingizi[emoji777]

Hamas na PIJ huyu anamnyima usingizi
kwa kumsumbua na maroketi kila mara [emoji777]

Iran ambaye huyu ndo mbaya kabisa kwa Israel....Huyu Israel anataman amfute maana ndo awanasaidia kina Hezbollah hamas, Houth ambao wanamsumbua[emoji777]

Syria japo sio kitisho sana kwa sasa kwa Israel [emoji777][emoji777]

Hawa Iraq, Yemen na wengine watakwisha kabisa akifanikiwa kumwangusha Iran

Hii ndo strategy ya Israel
 
Ziara ya mambo ya nje wa Iran inaashiria kuna jambo zito

Wachambuzi wanadai ni safari za kufanya mazungumzo na proxies wake wote na It seems that the final preparations and discussions are being held with the Axis of Resistance.

Lengo la hizi safari ni maandalizi ya kila upande kukaa tayari

Kinachomuumiza kichwa Iran ni jinsi gani ataishambulia Israel ili kuleta madhara maana Israel wana air defense nyingi na ambazo zinacover eneo kubwa sana la nchi yao na geographia ya eneo lao inawabeba sana..... Kipengele ni kuwa makombora yatalenga shabaha au yatatunguliwa yote? Jee Israel watajibu kwa namna gani?

Hili linanikumbusha ile hadithi ya Israel ilivyolenga kile kituo cha siri cha Nyuklia nadhani ilikua 2007 au 2008 hivi.....Sasa kwenye kujibu Syria walikua na machaguo kuwa watajibu vipi

Walitaka kuitia Israel adabu kwa kufyatua makombora 40 ya maangamizi (mass destruction weapons) maana syria wakati huo walikua na silaha za maangamizi tayari.....kipengele kikawa watajibu sawa reactions ya Israel itakuaje maana silaha za Sumu zina madhara makubwa sana Jee wakijibu na mabomu ya Nyuklia?Maana Israel anazo Silaha za nyuklia tokea zamani tu....Mwishowe Syria akaamua kuipotezea hiyo ishu tu
Iran hawezi kushambulia directly, hapo atatumia vikundi vyake vya kigaidi kukwepa makabiliano ya moja kwa moja na Israeli
 
A barking dog never bite ,Iran hawezi ishambulia Israel directly atatumia vikundi vyake shirika kushambulia maslahi ya Israel au Israel maana anajua A -Z kama ataingia yeye kama yeye ni an open door kupigana na western countries katika ardhi ya Teheran jambo ambapo linasubiriwa kwa udi na uvumba na wazungu ,maana yeye ndio kikwazo kikuu hapo middle East kwa kuwa kinara wa Ku fund vikundi vya kigaidi ,na kununi ni moja kama unataka kumaliza snake hata kama ni mkubwa kiasi gani ni kuponda kichwa chake, kazi utakuwa umemaliza.
 
Iran anawaza akijibu jee Israel akishambulia vinu vya nyuklia vya Iran jee?Maana Israel ana makombora ya masafa (jericho missiles) marefu yenye uwezo wa kupiga popote ndani ya Iran............

Israel’s long range ballistic missiles units have entered the coordinates of Iran’s top nuclear sites. The Israeli retaliation in case of a direct missile attack from Iranian soil will wipe out Iran’s nuclear program. These are the reasons Iran might use its proxies or launch an attack on an Israeli target abroad. Sources associated with the Syrian opposition claim that for the first time Iran sent a container with suicide drones from the Al Bukamal area on the Syria-Iraq border (in northeastern Syria) to the bases of the pro-Iranian militias in southern Syria (in Daraa, Sweida and Quneitra).
20240407_225803.jpg
 
A barking dog never bite ,Iran hawezi ishambulia Israel directly atatumia vikundi vyake shirika kushambulia maslahi ya Israel au Israel maana anajua A -Z kama ataingia yeye kama yeye ni an open door kupigana na western countries katika ardhi ya Teheran jambo ambapo linasubiriwa kwa udi na uvumba na wazungu ,maana yeye ndio kikwazo kikuu hapo middle East kwa kuwa kinara wa Ku fund vikundi vya kigaidi ,na kununi ni moja kama unataka kumaliza snake hata kama ni mkubwa kiasi gani ni kuponda kichwa chake, kazi utakuwa umemaliza.
Ngoja tuone

Israel’s long range ballistic missiles units have entered the coordinates of Iran’s top nuclear sites. The Israeli retaliation in case of a direct missile attack from Iranian soil will wipe out Iran’s nuclear program. These are the reasons Iran might use its proxies or launch an attack on an Israeli target abroad. Sources associated with the Syrian opposition claim that for the first time Iran sent a container with suicide drones from the Al Bukamal area on the Syria-Iraq border (in northeastern Syria) to the bases of the pro-Iranian militias in southern Syria (in Daraa, Sweida and Quneitra).
 
Israel anamiliki hili Dubwana lina uwezo wa kupiga mpaka Iran na sehemu yoyote ile mashariki ya kati na inasemekana wanayo kama 263 hivi

Sasa kwanini hawayatumii kuwatandika Yemen??
220px-Shavit_3rd_stage.jpg
 
Kiama hakipo mbali, masih dajjal yupo njiani, vitaanzia hapo hapo mashariki ya kati, balaa la njaa kubwa litakuja,

Ni dalili mbaya kiukweli na wakianza kutwangana huku MATAKO CHWILI tutaona rangi zooote.
 
Back
Top Bottom