Hamna watu wastaarabu kama wapersia , someni historia na mlijuwe hilo taifa la Iran kiundani .
Hao watu wamewahifadhi hao mazayuni maelfu ya miaka mpaka leo na bado wapo Iran .
Kuna wakati Iran ndio ilikuwa taifa lenye idadi kubwa ya wayahudi ukitoa United states .
Halafu bado wanaamini Iran inachuki binafsi na wayahudi , by the way wayahudi feki (,khazars )
Give me a break
Halafu anatokea zoba maamuma mmoja asiyejua kusoma na kuandika anakuambia "Iran inafadhili magaidi "
Ukimuuliza ni magaidi gani ambao Iran inafadhili ,majibu yake utacheza mpaka ufe .
Mara utasikia "Iran taifa la kigaidi "
Hao watu wamewahifadhi hao mazayuni maelfu ya miaka mpaka leo na bado wapo Iran .
Kuna wakati Iran ndio ilikuwa taifa lenye idadi kubwa ya wayahudi ukitoa United states .
Halafu bado wanaamini Iran inachuki binafsi na wayahudi , by the way wayahudi feki (,khazars )
Give me a break
Halafu anatokea zoba maamuma mmoja asiyejua kusoma na kuandika anakuambia "Iran inafadhili magaidi "
Ukimuuliza ni magaidi gani ambao Iran inafadhili ,majibu yake utacheza mpaka ufe .
Mara utasikia "Iran taifa la kigaidi "