Iran imejipanga Israel akijichanganya tu analo cheki mazoezi ya iran hayosasa bibi, iran anasema anaweza nini sasa wakati makombora zaidi ya 300 amerusha yamedakwa na israel haijaathirika kabisa. hayo 300 yangerushwa kuelekea iran ingeyadaka? netanyahu amesema within 48 hours anarusha ya kwake ngoja tuone itakuwaje.
Nadhani Israel ataanza kutarget na kufanya assassination ya watu Muhimu huKo Iran.I never thought kama Iran angefanya direct attack ndani ya Israel. They got balls. Attacks hizi ni tests pia, so wamejua defence capability ya Israe
Propaganda? Kariri hivyo hivyo.Propaganda as usual
Kavumilia sana sanaIran mpaka kutoa response that's means umemgusa pabaya
sasa huyu muajemi mbona kama anacheza ile nengua viuno ya vigodoro?Iran imejipanga Israel akijichanganya tu analo cheki mazoezi ya iran hayoView attachment 2963887
Hatathubutu kamwe keshajua cha moto kinakuwaje.Navhojua Is
Nadhani Israel ataanza kutarget na kufanya assassination ya watu Muhimu huKo Iran.
Umemtag Dr. Dre sio..BabaMorgan umeibiwa huku avatar picha yako ya zamani.
Una akili timamu kweli wewe? Kila mtu anaweza ishambulia Israel? Hujui kuwa ukiishambulia Israel, umeishambulia Marekani na Ulaya yote? Unadhani Israel ni Haiti?attack kile mtu anaweza
Wana defence gani hao Israel kama sio UK US na France hakuna Israel. Kwa kifupi ni aibu sana. Wanaweza Hamas tu wasio ma ndege vita ila kwa Iran ni motoI never thought kama Iran angefanya direct attack ndani ya Israel. They got balls. Attacks hizi ni tests pia, so wamejua defence capability ya Israel.
Israel imeshaua Majenerali kadhaa wa Iran. Iran imeua generals wangapi wa Israel? Kuua general unafikiri ni jambo dogo? Hiyo Iran haiwezi Israel.Wana defence gani hao Israel kama sio UK US na France hakuna Israel. Kwa kifupi ni aibu sana. Wanaweza Hamas tu wasio ma ndege vita ila kwa Iran ni moto
ππ π€£sasa huyu muajemi mbona kama anacheza ile nengua viuno ya vigodoro?
Iran sio nchi ya kiarabu. Iran ni waajemi / PersiansAngalau Iran imethubutu kuishambulia Israel , nchi zingine za kiarabu ni unafiki tu
MwenyeweKayngay
Dogo lala πππ π€£ππΏππΏπ€πΏπ€πΏππΏMwenyewe