LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Bado hujanionesha. Mzee
Uigereza tayari na Ufaransa tayari zilikuwa zimeshindwa na Hitler.
Mdau naona sasa unaanza kuleta ubishi usio na msingi. Kwamba hujaisoma kabisa hiyo article ya Wikipedia?

Hitler hakuweza kuIshinda Uingereza, malengo yake (katika Battle of Britain) ya kuilazimisha Uingereza kufanya makubaliano ya amani yalishindwa. Uingereza alishinda katika Battle of Britain mwaka 1940. Utasemaje walishindwa?

Ufaransa walishindwa ndio na walikuwa occupied na Nazi Germany na wanazi wakaweka vibaraka wao (Vichy France) pale. Ila Ufaransa illkombolewa kutoka kwa wanazi mwaka 1944. Kasome Operation Overload



Hitler aliamu sasa kwenda kupambana na USSR baada ya kuwadhoofisha UK
Hitler aliingia katika vita na USSR mwaka 1941 wakati hajamshinda Uingereza kwa upande wa magharibi. Hivyo akajikuta anafungua fronts mbili. Wakati moja haimaliza vizuri.
Kwanza aliwachakaza Poland na wakampatia njia ya kuingia USSR.
Aliwachakaza Poland na lengo lake hasa lilikuwa ni USSR ila mwanzo hakutaka vita na USSR mapema. Hivyo kabla ya kuivamia Poland akafanya makubaliano na hiyo hiyo USSR ya amani. Kasome Molotov-Ribbentrop Pact.
Sasa nioneshe wafaransa walivamiwaje na Hitler na wakashinda
Kasome Operation Overload. Wanazi walii occupy France ndio ila majeshi ya washirika wakaja kuwatoa wanazi mwaka 1944

Waingereza walivamiwaje na Hitler wakashinda.

Kasome Battle of Britain
 
Kwanza taarifa yako uliyoiweka kutokea wikipedia inaonesha Hitler alikuwa ameungana na USSR. Sijaone ukweli wake.
Hao Russian Liberation Army hawakuwa jeshi la USSR. Mpaka wakati huo (1945) tayari USSR na wanazi walikuwa vitani tokea 1941.

Ila mwanzo waliwahi kuwa na makubaliano ya amani. Kabla Hitler hajaivamia Poland mwaka 1939.

Molotov-Ribbentrop Pact au Non Aggression Pact kati ya USSR na wanazi kabla mnazi hajaivamia Poland hiyo mbona iko wazi.

Waliingia vitani wanazi walipowavamia USSR mwaka 1941.
 
Unafikiri mazayuni na mabwana zao wanakutangazia kimetokea nini kiukweli?

Nchi zaidi ya kumi zimeungana kuzuia makombora ya Iran, lakini hata hivyo, yote yalikua "decoy" yaliotakiwa kupiga hakuna hata moja lililozuiliwa.

Kumbuka hilo.
Usipotoshe ebu taja izo nchi zaidi ya 10 na ushahidi wa source hapa hi kidude ww unapenda kujikuta unajua mambo beyond ya media zote angali uko bongo acha unafik ww na ushabik mandaz
 
The Holy Roman Emperor and Crusader (Catholic) waliamua kuivamia USSR ili waendeleze kueneza dini yao kwa upanga kama walivyofanya hapa Tanganyika.

Lengo kubwa na "Holy Roman Empire" ilikuwa ni:-
  1. Acquiring the oil reserves of the Caucasus
  2. Agricultural resources of various Soviet territories, including Ukraine and Byelorussia
  3. Create more Lebensraum (living space) for Germany
  4. Extermination of the native Slavic peoples by mass deportation to Siberia
  5. Germanisation, enslavement, and genocide
Sasa tuoneshe huko Ufaransa na Uingenera Hitler alifanyaje.

Nishajua tatizo lako. No offence mdau. Operation Barbarossa ilikuwa ni uvamizi wa Nazi dhidi wa USSR. Ilipewa jina la Barbarossa ambaye ndio aliwahi kuwa mtawala wa kirumi.

The operation, code-named after Frederick Barbarossa ("red beard"), a 12th-century Holy Roman Emperor and Crusader, put into action Nazi Germany's ideological goals of eradicating communism, and conquering the western Soviet Union to repopulate it with Germans. The German Generalplan Ost aimed to use some of the conquered people as forced labour for the Axis war effort while acquiring the oil reserves of the Caucasus as well as the agricultural resources of various Soviet territories, including Ukraine and Byelorussia. Their ultimate goal was to create more Lebensraum (living space) for Germany, and the eventual extermination of the native Slavic peoples by mass deportation to Siberia, Germanisation, enslavement, and genocide.[27][28

Nadhani kuna kitu ulichanganya mdau.

The theme of Barbarossa had long been used by the Nazi Party as part of their political imagery, though this was really a continuation of the glorification of the famous Crusader king by German nationalists since the 19th century. According to a Germanic medieval legend, revived in the 19th century by the nationalistic tropes of German Romanticism, the Holy Roman Emperor Frederick Barbarossa—who drowned in Asia Minor while leading the Third Crusade—is not dead but asleep along with his knights in a cave in the Kyffhäuser mountains in Thuringia and is going to awaken in the hour of Germany's greatest need and restore the nation to its former glory.[35] Originally, the invasion of the Soviet Union was codenamed Operation Otto (alluding to Holy Roman Emperor Otto the Great's expansive campaigns in Eastern Europe),[36] but Hitler had the name changed to Operation Barbarossa in December 1940.[37] Hitler had in July 1937 praised Barbarossa as the emperor who first expressed Germanic cultural ideas and carried them to the outside world through his imperial mission.[38] For Hitler, the name Barbarossa signified his belief that the conquest of the Soviet Union would usher in the Nazi "Thousand-Year Reich".[38]

Roman emperor kuivamia USSR wapi na wapi?
 
nimefuatilia sana kinanchoendela juu ya mzozo wa iran na israel kwa kusoma makala mbalimbali za kiuchambuzi na nimugundua yafatayo kwa uchache sana
1-iran ilikuwa ina wajibu wa kulipa kisasi na ni haki yake kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa wa vienna,ambao unasema kuwa ubalozi wa nchi moja ukiwa katika nchi nyingine unahesabika kuwa ni ardhi ya nchi hiyo yenye ubalozi,hivyo kitendo cha isarel kuusshambulia ubalozi wa iran ni sawa na kuishambulia ardhi ya iran hivyo iran ilikuwa na haja na haki ya kulipiza mashambulizi
2-mashambulizi ya irana kwa israel yalikuwa planned na cordinated baina ya iran na washirika wa israel hasa USA,huku lengo halisi likiwa sio kupeleka madhara kwa urusi bali kuinyesha jamii kuwa iran inauwezo wa kurudisha mashambulizi pindi inapovamiwa(analyst wengi wametumia neno spectacle) ,ndio maana Biden na washirika wake waliweza kuijipanga na kusaidia urusi kuzuia mashambalizi hasa ya drone,cruise na ballistic missiles,
3-ni ukweli kuwa mashambulizi ya irana hayajakuwa na madhara makubwa kama ambavyo wana iran wenyewe wanajinasibu na hata kusema kuwa wameexceed matarajio yao ya taraget ,
4-isarel wameionyesha dunia kuwa wana air defense system nzuri sana, kwa ajili ya kuzuia mashambauliz mengi yanayoelekezwa kwao,kuweza kuzuia zaidi ya 330 projectiles (missile, and drones) sio jambo dogo hivyo israel kama wangekuwa wanafanya biashara ya kuuza silaha (kuwa nterest yao) bila shaka wangefanya biashra nzuri sana cuureent israel wantumia mifumo mitatu ya ulinzi nayo ni iron-dome,david sling (hii ni sawa na patriot system ya USA,ila hii iko more advanced) na arrow-3
5-pamoja na kuwa biden amemuonya netanyahu asirudishe mashambulizi ,na kwa kuzingatia halia ya kisiasa iliyopo israel juu ya utawala wake na kwa kuzingatia kuwa hii ndio fursa ya netanyahu kupata msaada wa haraka toka marekani kwa ajili ya kujilinda hasa kutoka kwa wabunge wa marekani walioonyesha wapo tayari kuitisha aid package kwenda israel, kwa mawazo yangu nadhani ni lazima bw netanayahu atarudisha majibu japo naamini hayatakuwa ya kiwango kikubwa kama wengi wanavyotarajia lazima atarudisha majibu kwa tahadhari lengo ni kuinyesha jamii kwamba ukivamia ardhi ya israel ni lazima uwajibishwe huku tahadhari ya kujizuia na vita kamili ikiwa ni kubwa

source

 
Kwanza taarifa yako uliyoiweka kutokea wikipedia inaonesha Hitler alikuwa ameungana na USSR. Sijaone ukweli wake.
Halafu kilichokuchanganya pia nimegundua hiyo Russian Liberation Army. Hilo sio jeshi la USSR, jeshi la USSR liliitwa Red Army.

Hao Russian Liberation Army walishirikiana na wanazi


The Russian Liberation Army (German: Russische Befreiungsarmee; Russian: Русская освободительная армия, Russkaya osvoboditel'naya armiya, abbreviated as РОА, ROA, also known as the Vlasov army (Власовская армия, Vlasovskaya armiya)) was a collaborationist formation, primarily composed of Russians, that fought under German command during World War II. The army was led by Andrey Vlasov, a Red Army general who had defected, and members of the army are often referred to as Vlasovtsy (Власовцы). In 1944, it became known as the Armed Forces of the Committee for the Liberation of the Peoples of Russia (Вооружённые силы Комитета освобождения народов России, Vooruzhonnyye sily Komiteta osvobozhdeniya narodov Rossii, abbreviated as ВС КОНР, VS KONR).[1]

 
Mdau naona sasa unaanza kuleta ubishi usio na msingi. Kwamba hujaisoma kabisa hiyo article ya Wikipedia?

Hitler hakuweza kuIshinda Uingereza, malengo yake (katika Battle of Britain) ya kuilazimisha Uingereza kufanya makubaliano ya amani yalishindwa. Uingereza alishinda katika Battle of Britain mwaka 1940. Utasemaje walishindwa?

Ufaransa walishindwa ndio na walikuwa occupied na Nazi Germany na wanazi wakaweka vibaraka wao (Vichy France) pale. Ila Ufaransa illkombolewa kutoka kwa wanazi mwaka 1944. Kasome Operation Overload




Hitler aliingia katika vita na USSR mwaka 1941 wakati hajamshinda Uingereza kwa upande wa magharibi. Hivyo akajikuta anafungua fronts mbili. Wakati moja haimaliza vizuri.

Aliwachakaza Poland na lengo lake hasa lilikuwa ni USSR ila mwanzo hakutaka vita na USSR mapema. Hivyo kabla ya kuivamia Poland akafanya makubaliano na hiyo hiyo USSR ya amani. Kasome Molotov-Ribbentrop Pact.

Kasome Operation Overload. Wanazi walii occupy France ndio ila majeshi ya washirika wakaja kuwatoa wanazi mwaka 1944



Kasome Battle of Britain
Kwanza kabisa Wikipedia siyo best source of Information.
Pili hakuna sehemu imeonesha kuwa USSR ilishirikiana na Uingereza na Ufaransa. Zaidi sana unaonesha namna ya USA, Canada na Uingereza walivyoshirikiana.

Mwisho: Aliye muangamiza Hitler ni USSR na wala siyo Uingereza au USA.
 
Nishajua tatizo lako. No offence mdau. Operation Barbarossa ilikuwa ni uvamizi wa Nazi dhidi wa USSR. Ilipewa jina la Barbarossa ambaye ndio aliwahi kuwa mtawala wa kirumi.

The operation, code-named after Frederick Barbarossa ("red beard"), a 12th-century Holy Roman Emperor and Crusader, put into action Nazi Germany's ideological goals of eradicating communism, and conquering the western Soviet Union to repopulate it with Germans. The German Generalplan Ost aimed to use some of the conquered people as forced labour for the Axis war effort while acquiring the oil reserves of the Caucasus as well as the agricultural resources of various Soviet territories, including Ukraine and Byelorussia. Their ultimate goal was to create more Lebensraum (living space) for Germany, and the eventual extermination of the native Slavic peoples by mass deportation to Siberia, Germanisation, enslavement, and genocide.[27][28

Nadhani kuna kitu ulichanganya mdau.

The theme of Barbarossa had long been used by the Nazi Party as part of their political imagery, though this was really a continuation of the glorification of the famous Crusader king by German nationalists since the 19th century. According to a Germanic medieval legend, revived in the 19th century by the nationalistic tropes of German Romanticism, the Holy Roman Emperor Frederick Barbarossa—who drowned in Asia Minor while leading the Third Crusade—is not dead but asleep along with his knights in a cave in the Kyffhäuser mountains in Thuringia and is going to awaken in the hour of Germany's greatest need and restore the nation to its former glory.[35] Originally, the invasion of the Soviet Union was codenamed Operation Otto (alluding to Holy Roman Emperor Otto the Great's expansive campaigns in Eastern Europe),[36] but Hitler had the name changed to Operation Barbarossa in December 1940.[37] Hitler had in July 1937 praised Barbarossa as the emperor who first expressed Germanic cultural ideas and carried them to the outside world through his imperial mission.[38] For Hitler, the name Barbarossa signified his belief that the conquest of the Soviet Union would usher in the Nazi "Thousand-Year Reich".[38]

Roman emperor kuivamia USSR wapi na wapi?
Mzee naona unaenda tofauti kabia Holy Roman Empire siyo utawala wa Kirumi; ni utawala wa Kijerumani.
Utawala wa kirumi ulikuwa unaitwa "Roman Empire"

Kwanza jifunze kutofautisha mambo hayo mawili.

Holy Roman Empire ni hii hapa:
1713179677566.png


Usikurupuke kujibu kabla ya kuelewa context.
 
Kwanza kabisa Wikipedia siyo best source of Information.
Pili hakuna sehemu imeonesha kuwa USSR ilishirikiana na Uingereza na Ufaransa. Zaidi sana unaonesha namna ya USA, Canada na Uingereza walivyoshirikiana.

Mwisho: Aliye muangamiza Hitler ni USSR na wala siyo Uingereza au USA.

Hata mimi najua kuwa wikipedia kuwa sio reliable source. Huwa naitumia kuonesha baadhi ya mambo tu kwa juu juu kisha ndio ukasome vizuri. Hivyo kasome kokote kule hizo Operations nilizokutajia katika sources unazozikubali.

Pili, sijui unamaanisha nini unaposema kuwa USSR hawakushirikiana na Uingereza na Ufaransa katika WW2. Ninachojua kuwa walikuwa ni Allies katika hiyo vita wakipigana kwa upande mmoja wao pamoja na Uingereza, Ufaransa, US na wengineo na upande mwengine Germany, Italy na Japan (Axis Powers). Hii ni knowledge ya kawaida kabisa kwa kila anayefuatilia historia ya WW2. Kishule shule hiyo ni knowledge ya history ya sekondari.

Hiyo Western Allied Invasion of Germany ilikuwa ni uvamizi wa nchi washirika dhidi ya Ujerumani kwa upande wa magharibi ndio maana humuoni hapo. USSR yeye alikuwa upande wa mashariki. Ila walishirikiana.

Unaanza kunichosha mdau.
 
Hata mimi najua kuwa wikipedia kuwa sio reliable source. Huwa naitumia kuonesha baadhi ya mambo tu kwa juu juu kisha ndio ukasome vizuri. Hivyo kasome kokote kule hizo Operations nilizokutajia katika sources unazozikubali.

Pili, sijui unamaanisha nini unaposema kuwa USSR hawakushirikiana na Uingereza na Ufaransa katika WW2. Ninachojua kuwa walikuwa ni Allies katika hiyo vita wakipigana kwa upande mmoja wao pamoja na Uingereza, Ufaransa, US na wengineo na upande mwengine Germany, Italy na Japan (Axis Powers). Hii ni knowledge ya kawaida kabisa kwa kila anayefuatilia historia ya WW2. Kishule shule hiyo ni knowledge ya history ya sekondari.

Hiyo Western Allied Invasion of Germany ilikuwa ni uvamizi wa nchi washirika dhidi ya Ujerumani kwa upande wa magharibi ndio maana humuoni hapo. USSR yeye alikuwa upande wa mashariki. Ila walishirikiana.

Unaanza kunichosha mdau.
Ndio maana nimekuwambia uweke proof kuonesha USSR walikuwa na Alliance na (USA, Ufaransa na Uingereza) Lakini bado hujaonesha mpaka sasa.
 
Mzee naona unaenda tofauti kabia Holy Roman Empire siyo utawala wa Kirumi; ni utawala wa Kijerumani.
Utawala wa kirumi ulikuwa unaitwa "Roman Empire"

Kwanza jifunze kutofautisha mambo hayo mawili.

Holy Roman Empire ni hii hapa:
View attachment 2964299

Usikurupuke kujibu kabla ya kuelewa context.


Sawa umeshinda na mimi sikuwa sawa. Lini "Holy Roman Empire" iliivamia USSR nchi iliyoundwa 1922? Ninachojua ni kuwa Operation Barbarossa ilianza mwaka 1941.

Mdau naona unataka kuanza kunichosha na kuniingiza katika mijadala ya kitoto.
 
Nishajua tatizo lako. No offence mdau. Operation Barbarossa ilikuwa ni uvamizi wa Nazi dhidi wa USSR. Ilipewa jina la Barbarossa ambaye ndio aliwahi kuwa mtawala wa kirumi.

The operation, code-named after Frederick Barbarossa ("red beard"), a 12th-century Holy Roman Emperor and Crusader, put into action Nazi Germany's ideological goals of eradicating communism, and conquering the western Soviet Union to repopulate it with Germans. The German Generalplan Ost aimed to use some of the conquered people as forced labour for the Axis war effort while acquiring the oil reserves of the Caucasus as well as the agricultural resources of various Soviet territories, including Ukraine and Byelorussia. Their ultimate goal was to create more Lebensraum (living space) for Germany, and the eventual extermination of the native Slavic peoples by mass deportation to Siberia, Germanisation, enslavement, and genocide.[27][28

Nadhani kuna kitu ulichanganya mdau.

The theme of Barbarossa had long been used by the Nazi Party as part of their political imagery, though this was really a continuation of the glorification of the famous Crusader king by German nationalists since the 19th century. According to a Germanic medieval legend, revived in the 19th century by the nationalistic tropes of German Romanticism, the Holy Roman Emperor Frederick Barbarossa—who drowned in Asia Minor while leading the Third Crusade—is not dead but asleep along with his knights in a cave in the Kyffhäuser mountains in Thuringia and is going to awaken in the hour of Germany's greatest need and restore the nation to its former glory.[35] Originally, the invasion of the Soviet Union was codenamed Operation Otto (alluding to Holy Roman Emperor Otto the Great's expansive campaigns in Eastern Europe),[36] but Hitler had the name changed to Operation Barbarossa in December 1940.[37] Hitler had in July 1937 praised Barbarossa as the emperor who first expressed Germanic cultural ideas and carried them to the outside world through his imperial mission.[38] For Hitler, the name Barbarossa signified his belief that the conquest of the Soviet Union would usher in the Nazi "Thousand-Year Reich".[38]

Roman emperor kuivamia USSR wapi na wapi?
Kabla ya Operation ya Barbarossa. Ujerumani ilikuwa imejitanua namna hii ulaya. 👇 👇 👇
Finland ilikuwa tayari chini ya Holy Roman Empire.


1713180074241.png
 
huo ni utaratibu wake hajachaguliwa na mtu pakupiga.
Israel nae akijibu kwenye majengo asilaumiwe
Kuna sheria za Kimataifa, ambazo kama zingefuatwa viongozi wote wa Israel walitakiwa wawe jela. So kusema ni utaratibu wake tu Haitoshi.

Mimi nikianzisha utaratibu wa kula maini ya binadamu nitaruhusiwa? Siwezi ruhusiwa sababu ni against sheria za Nchi.

Sheria za kimataifa zipo ambazo zinawalinda wananchi wa kawaida, zinapopigana nchi mbili wanaopigana ni wanajeshi na sio raia, mtu yoyote anayefanya viceversa anatakiwa kuadhibiwa, it's just kuna wengine wanajiona wapo juu ya sheria.
 
Sawa umeshinda na mimi sikuwa sawa. Lini "Holy Roman Empire" iliivamia USSR nchi iliyoundwa 1922? Ninachojua ni kuwa Operation Barbarossa ilianza mwaka 1941.

Mdau naona unataka kuanza kunichosha na kuniingiza katika mijadala ya kitoto.
Swali lako sijalielewa. Unauliza lini Holy Roman Empire ilivamia USSR au unauliza USSR iliundwa 1922?

Kwanza umeelewa kuwa Holy Roman Empire ni Ujeruman? Na nitofauti na utawala wa Kirumi (Roman Empire)
 
Back
Top Bottom