Israeli Broadcasting Corporation, according to a senior Israeli official: Israel pledged to inform Washington before any offensive action in IranNgoja tuone kila mtu yupo tayari .
We myahudi wa buza unaona Iran kama burundi enhe? Wakati hata kigamboni ujawahi kuvuka unaleta uchambuzi mabumundaIran isisahau MOSAD wapo siku nyingi ndani ya Iran! Huenda mashambulizi ya Israel yatatokea ndani ya Iran yenyewe.
Maneno ya nini? Mziki unaanza Israel kasema anaingia vitaniBREAKING
Abolfazl Amoui, spokesman for the National Security and Foreign Policy Committee of the Iranian Parliament says Iran is ready to use weapons that it has not used before and we have a plan for all scenarios if Israel escalates
Sheria ya ndoa, mke hawezi kwenda popote au kufanya lolote bila ruhusa ya mume.Israeli Broadcasting Corporation, according to a senior Israeli official: Israel pledged to inform Washington before any offensive action in Iran
---------------------------------
Kama kawaida yao ni lazima wapate ruhusa kutoka kwa big brother. Kama Amerika ipo tayari ku sacrifice sawa!
Hahahah!Mtazamo wa kijiografia na uchaguzi wako wa kuwa upande gani ndivyo vinavyokusukuma kusema hivyo,deeply u know nothing.
Sawa, ngoja tuone. Sote si tupo hapa! Muda ndiyo jawabu bora.Maneno ya nini? Mziki unaanza Israel kasema anaingia vitani
Kila upande with their allies wako tayari ku sacrifice jaribu kukiweka kichwa chako kimzani zaidi.Israeli Broadcasting Corporation, according to a senior Israeli official: Israel pledged to inform Washington before any offensive action in Iran
---------------------------------
Kama kawaida yao ni lazima wapate ruhusa kutoka kwa big brother. Kama Amerika ipo tayari ku sacrifice sawa!
Israel hapo haombi ruhusa anatoa taarifa tu kama Iran alivyotoa taarifa ndani ya masaa 72 aliwaambia uturuki, Saudia Arabia, Qatar na marekani kuwa anajiandaa kuipiga israeli.Israeli Broadcasting Corporation, according to a senior Israeli official: Israel pledged to inform Washington before any offensive action in Iran
---------------------------------
Kama kawaida yao ni lazima wapate ruhusa kutoka kwa big brother. Kama Amerika ipo tayari ku sacrifice sawa!
Kichapo kipo pale paleIran imeongeza umakini katika anga lake kwa kuzuia ndege za kimataifa kutumia anga lake upande wa Syria, Saudi, Iraq
Israel hawezi kulipiza leo au kesho itachukua mda hata Marekani kasha mkataza kulipiza haraka,......escalation ya vita itakua kubwa zaidi kuizuia vita ikianza, hizo ni mbwembwe za natanyahu, huo Muziki sio mdogo.
Ngoja waipate halafu tupime nani ni naniIran imeongeza umakini katika anga lake kwa kuzuia ndege za kimataifa kutumia anga lake upande wa Syria, Saudi, Iraq
Bila msaada wa Marekani wataweza ?Baada ya kushambuliwa kwa makombola na ndege nyuki zaidi ya 300.
Baraza la Vita limepitisha azimio la kulipa kisasi kama fundisho kwa wote wanaotaka ishambulia Israel.
Wanatumia anga la nchi gani Ili kuifikia Iran?....Jeshi la Anga Israel tayari limejiandaa mashambulizi
Netanyahu kagoma kupokea simu za viongozi kadhaa
Israel itaenda yenyewe kuipiga Iran
Hii ipo toka enzi za vita vya ghuba hata kule bungu,jaribu,kibiti....kiimani tegemeo la ushindi lilikuwa hilohilo tunawajua.Hahahah!
Najua usichokijua! Hivyo sishangazwi na jawabu lako.
Ni kwa vile mapenzi yako yapo kwa Israel. Ila kwa tunaoona mbali hayo mazingira ni Israel inafutika.
Labda aiadhibu Iran kwa namna nyengine ila si kushambulia ardhi ya Iran.
Iran atapigika?Viburi wawili wamekutana
Jeshi la Anga Israel tayari limejiandaa mashambulizi
Netanyahu kagoma kupokea simu za viongozi kadhaa
Israel itaenda yenyewe kuipiga Iran
Na mimi ndiyo nasubiri wafanye ili tuone.Watalipa kisasi kwa kushambulia washirika wa Iran huko Syria, Lebanon na pengine kuongeza mashambulizi Gaza, lakini sio kuthubutu kugusa ardhi ya Iran. Hilo kosa Netanyahu na Biden wake wahawezi fanya kamwe.
Sawa! Tutaona si tupo hapa!Maneno ya nini? Mziki unaanza Israel kasema anaingia vitani
Iranians will reap what they sow.Baada ya kushambuliwa kwa makombola na ndege nyuki zaidi ya 300.
Baraza la Vita limepitisha azimio la kulipa kisasi kama fundisho kwa wote wanaotaka ishambulia Israel.