Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ipo, ila naona hii itazaa may be WWW3 ambacho hakijulikani ni Iran ana SILAHA gani za maangamiziViburi wawili wamekutana
Israel hawezi kulipiza leo au kesho itachukua mda hata Marekani kasha mkataza kulipiza haraka,......escalation ya vita itakua kubwa zaidi kuizuia vita ikianza, hizo ni mbwembwe za natanyahu, huo Muziki sio mdogo.Baada ya kushambuliwa kwa makombola na ndege nyuki zaidi ya 300.
Baraza la Vita limepitisha azimio la kulipa kisasi kama fundisho kwa wote wanaotaka ishambulia Israel.
The best alizo nazo Iran ni supersonic missiles..ambacho hakijulikani ni Iran ana SILAHA gani za maangamizi
Miaka yote wakiwa na vita huanzisha baraza la vitaBaraza la Vita! Dah! Inaogofya!
Nukes ni political tool sio war weapon, hawezi kuitumia haraka kihivyo.The best alizo nazo Iran ni supersonic missiles..
Israel pia anazo hizo plus Nukes
Yaani mnaanzisha Baraza la Vita; yaani mission ni vita! Hatari sana.Miaka yote wakiwa na vita huanzisha baraza la vita