Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Action kama hiziManeno meeeengi action zero 🤣 🤣 🤣 🤣
Iran’s Supreme Leader Ayatollah Khamenei swears the ‘liberation of Palestine’
Stori imebadilika kutoka kwenye
"kama wanaweza warushe hata jiwe moja kwenye ardhi ya Mzayuni uone watakachofanywa"
Kwa ss kauli inayobamba ni
"wamepiga ndio lkn hatujaumiaa "
Kweli Muajemi akiahidi anatimizaaa
99% ya vidude waliotuma ni vya engine za pikipiki na vilikua na havina mabomu.
Waira wamewaweza sana mazayuni na mabwana zao.
🤣🤣🤣🤣
Yan we bi kidude hakuna kit unajua ni nakuonaga unatapa tapa hauna facts ni mdondo tuWairan wameshasema tena, ile jana ilikuwa tiisha toto, mkiendelea na mauwaji ya Wapalestina na sisi tutakuja kwa nguvu haswa, jana ilikuwa kuwaonya tu.
Iran yatoa onyo; Tunaweza kufanya mara 100 ya jana bila kutetereka, tunaelekea huko, jana ilikuwa ni kutimiza ahadi tu.
Matokepo ya jana yalikuwa mazururi kuliko tulivyotarajia.
Daaah Yan nyie time will tellUfunguke akili wewe uliyechotwa akili na wazungu. Mpaka wanakufanya uwaabudu.
Toa uchafu hapaImani ipi? Asili ya Ibrahim ni Iran. Babu zake na mama zake ni Waajemi. Unakataa?
Uchafu wa mama yakoToa uchafu hapa
Hivi mmesahau USA alipigwa na Iran makombora kwenye base yake pale Iraq na hajawahi kujua yalituaje na patriot ilikuwepo na hakufanya chochote japokuwa wanajeshi wake walikufa na wengi wana watatizo ya akili japokuwa walijifungia kwenye ma bunker. Tena kipindi cha trump, nae alipiga kimya kama siyo yeye aliyetangaza kumuua soleiman kwa mbwembwe. Usa kamshauri vyema israel, atamsaidia kwenye defence, offense no way anajua shughuli ya Iran
Hii retaliation imetoa funzo kwa ncho zote zinazoleta chokochoko kwa Iran, alishajifunza US na sasa Israel, mpaka wajipange tena.