GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Wanaktaaa huku sijui unaangalia wapi?😅😅Pole tafuta pakufichia kobazi zako
View: https://twitter.com/sentdefender/status/1781126103123607663?t=SgpLf5ylOQIVfXmtDWPzlg&s=19
Mbona mnakataa kuwa responsible 😅😅,hilo taifa lako haliwezi kupambana na Iran milele.Wamekiri wamepigwa ila hawajui wamepigwa na nani 🤣🤣
View: https://twitter.com/sentdefender/status/1781211363538350367?t=BPCJh6C-XdgfGkBt0LHJYA&s=19
Ila iran wamekiri wamechapwa ila hwajui wamechapwa na nani je zile air diffense system bora kabisa zilikuwa wapi hapo iran?Wanaktaaa huku sijui unaangalia wapi?😅😅
View: https://twitter.com/spectatorindex/status/1781202141803368627?s=19
Mbona mnakataa 😅😅😅si mkubalibkuwa responsible 😅Ila iran wamekiri wamechapwa ila hwajui wamechapwa na nani je zile air diffense system bora kabisa zilikuwa wapi hapo iran?
🤣🤣
View: https://twitter.com/sentdefender/status/1781211363538350367?t=BPCJh6C-XdgfGkBt0LHJYA&s=19
Haya wamekiri kushambuliaMbona mnakataa 😅😅😅si mkubalibkuwa responsible 😅
View: https://twitter.com/spectatorindex/status/1781202141803368627?s=19
Ebu soma kwanza hapo 😅😅😅ndio maana wanaktaa ,taifa la Mungu linajua moto wa Iran ... Iran kapiga kambi mbili na kuu wanajeshi kadhaa nyie mnaleta propaganda.
Eti anonymous labda asiyejua kusoma ,Iran huwaga wanasema wapi sio chanzo kisichojulikan😅😅😅😅...Acheni propaganda mnambwela huku
Moto wa kutuma tuku tuku zinatembea hewani masaa 9 na kuanguka zenyeweEbu soma kwanza hapo 😅😅😅ndio maana wanaktaa ,taifa la Mungu linajua moto wa Iran ... Iran kapiga kambi mbili na kuu wanajeshi kadhaa nyie mnaleta propaganda.
View: https://twitter.com/spectatorindex/status/1781202141803368627?s=19
Sasa tunatafuta nan kashambulia wakati israel ilisema itajibu mashambulizi muda wowote au kobazi na vipedo ulivyovaa vinakubana sanaEti anonymous labda asiyejua kusoma ,Iran huwaga wanasema wapi sio chanzo kisichojulikan😅😅😅😅...Acheni propaganda mnambwela huku
View: https://twitter.com/spectatorindex/status/1781202141803368627?s=19
Kambi mbili zimepigwa na wanajeshi kadhaa ,footages zote zinasema wamepiga leo mmekuja eti 84% ndio mmezui mara ya kwanza mlisema 99% ,Iran hamna kitu mtamfanya taifa la Mungu la mchongo😅😅😅😅🥳Moto wa kutuma tuku tuku zinatembea hewani masaa 9 na kuanguka zenyewe
Hivi kwa akili zako timamu ukiachana na USA nani mwingne ana balls za kupiga iran kama sio myahudi?
Sasa tunatafuta nan kashambulia wakati israel ilisema itajibu mashambulizi muda wowote au kobazi na vipedo ulivyovaa vinakubana sana
Tupe picha za hizo kambi na wanajeshi waliokufa ambazo iran inajisifiaKambi mbili zimepigwa na wanajeshi kadhaa ,footages zote zinasema wamepiga leo mmekuja eti 84% ndio mmezui mara ya kwanza mlisema 99% ,Iran hamna kitu mtamfanya taifa la Mungu la mchongo😅😅😅😅🥳
Haya umana na hawa
View: https://twitter.com/spectatorindex/status/1781202141803368627?s=19
Wanakataa hata wai hawjafanya😅😅
Chombo kipo marekani hiko ,mnakuja watu hawajaona na biashara zinaenda kama kawaida Iran