GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Nakujibu kama kule nilivyokujib aisifiae mvua ujue imemnyeshea
View: https://twitter.com/Leelako/status/1781149724361511116?s=19
Anakuzwa hajafanya chochote 😅😅😅jamaa anataka kuwapa imani wanaoamini taifa la Mungu.
Unanikoti mara mbili mbili dawa imekuingia sasaChombo kipo marekani hiko ,mnakuja watu hawajaona na biashara zinaenda kama kawaida Iran
View: https://twitter.com/Leelako/status/1781149724361511116?s=19
Watu wapo site hakuna kitu...Mbona wanasema wakipigwa 😅😅Nakujibu kama kule nilivyokujib aisifiae mvua ujue imemnyeshea
Yako wapi hakuna korona nchini lakini bdae akaenda nayo
Jikaze
Unanikoti mara mbili mbili dawa imekuingia sasa
View: https://twitter.com/Tammuz_Intel/status/1781154773414093307?t=mOf_iDFdD_K-DrUoRWoYfQ&s=19
Hawajui maana video inaonekana ni ya muda toka kwa hilo bot
Hawajui maana video inaonekana ni ya muda toka kwa hilo bot
View: https://twitter.com/BabakDaheh60e/status/1781225588583252118?t=Of-O30frvXmFmGYMhEAmfQ&s=19
Hakuna shambulio, taifa la Mungu linawapa imani nyie 😅😅😅...Angalia live maeneo ya Iran watu hawajui chochote kile , kazi zinaendelea.
Iran left
View attachment 2968045
Hamjashambulia ,mbona wanasema 🤣🤣🤣🤣taifa la Mungu limepigwa mbona hamrudushi mmebaki kweny propaganda.
3 mzukaIsrael hana huo uwezo
Both are credible.
3 mzukaHamjashambulia ,mbona wanasema 🤣🤣🤣🤣taifa la Mungu limepigwa mbona hamrudushi mmebaki kweny propaganda.
Iran hamjapiga kwani nimektaaa ,kiukweli taifa la Mungu haliwezi kuipiga Iran .🤣🤣🤣
Bado nafuatilia source zoteBoth are credible.
According to Schrödinger's paradox of quantum superposition, a hypothetical cat may be considered both alive and dead simultaneously because its fate is linked to a random event that may (or may not) occur.
🤣🤣 Iran hamuwezi kuwapiga hata Mungu wenu ashuke hamgusi ng'o ,kaua wanajeshi na kupiga kambi zenu
Mashambulio ya iran kule iraq alizuia nani ashindwe kuliongelea hili au hujui nani kaka wa dunia?Anaongea mmarekani huko 🤣🤣