LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Amemaanisha ana mawazo tofauti na Nasrallah ambaye alisema hatoacha ujinga wake hadi Israel itoke Gaza
Wewe sasa ndio umetema bungo sio yeye hahah mana umeshindwa hata kuelewa hapa.

, and once diplomacy can achieve it,
 
Ndo maana nikakwambia sijaona alipo tema bungo maelezo yamekamilika.

(In any case, after the issue of a ceasefire takes shape, and once diplomacy can achieve it, all of the other details can be discussed and decisions can be taken,” Qassem said. “If the enemy [Israel] continues its war, then the battlefield will decide.”)
Leo ndio Hizbullah wanajifanya kuongelea ceasefire pumbavu kabisa mwaka mzima Israel imetumia diplomasia kuwasihi waache kurusha rockets wamejifanya vidume Leo wanapelekewa moto ndio wanajifanya kufikiria njia ya majadiliano?
 

‘If the enemy continues its war, the battlefield will decide’: Hezbollah​


The Lebanese armed group’s deputy leader Naim Qassem says he supports attempts by Speaker of Parliament Nabih Berri, a Hezbollah ally, to secure a halt to fighting with Israel.
It wasn’t clear whether this signalled any change in stance after a year in which Hezbollah said it’s fighting in support of Palestinians in war-battered Gaza and won’t stop without a truce there.
“In any case, after the issue of a ceasefire takes shape, and once diplomacy can achieve it, all of the other details can be discussed and decisions can be taken,” Qassem said. “If the enemy [Israel] continues its war, then the battlefield will decide.”

Kiongozi wa Hezbollah katema bungo FaizaFoxy
Sielewi lugha za kijinga, "wanatema bungo" ndiyo nini?
 
Leo ndio Hizbullah wanajifanya kuongelea ceasefire pumbavu kabisa mwaka mzima Israel imetumia diplomasia kuwasihi waache kurusha rockets wamejifanya vidume Leo wanapelekewa moto ndio wanajifanya kufikiria njia ya majadiliano?
Kwani hapo wamekwambia wataacha kurusha roketi au ceasefire ina masharti yake pia yasipo zingatiwa mwendo ni uleule
 
Hao wanaozungumzwa hapo ni wazinifu mwanaume na mwanamke je siku hizi umekua taqia au ushkga umekutawala kama huyu
David and Jonathan. “After David had finished talking with Saul, Jonathan became one in spirit with David, and he loved him as himself.” (1 Samuel 18:1) David says of Jonathan: “Your love for me was wonderful, more wonderful than that of women.” (2 Samuel 1:26)
Aya inayowahusu wazinifu hii hapa ni bakora.100!
👇🏽👇🏽
الزَّانِيَةُ وَالزَّانِي فَاجْلِدُوا كُلَّ وَاحِدٍ مِّنْهُمَا مِائَةَ جَلْدَةٍ ۖ وَلَا تَأْخُذْكُم بِهِمَا رَأْفَةٌ فِي دِينِ اللَّهِ إِن كُنتُمْ تُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ ۖ وَلْيَشْهَدْ عَذَابَهُمَا طَائِفَةٌ مِّنَ الْمُؤْمِنِينَ

[ AN - NUR - 2 ]
Mzinifu mwanamke na mzinifu mwanamume, mtandikeni kila mmoja katika wao bakora mia. Wala isikushikeni huruma kwa ajili yao katika hukumu ya Mwenyezi Mungu, ikiwa nyinyi mnamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Na lishuhudie adhabu yao kundi la Waumini.

Aya hii inahusu wanawake Wanao SAGANA
👇🏽👇🏽
ayat 15 from Surah An-Nisa
﴿وَاللَّاتِي يَأْتِينَ الْفَاحِشَةَ مِن نِّسَائِكُمْ فَاسْتَشْهِدُوا عَلَيْهِنَّ أَرْبَعَةً مِّنكُمْ ۖ فَإِن شَهِدُوا فَأَمْسِكُوهُنَّ فِي الْبُيُوتِ حَتَّىٰ يَتَوَفَّاهُنَّ الْمَوْتُ أَوْ يَجْعَلَ اللَّهُ لَهُنَّ سَبِيلًا﴾
[ النساء: 15]

Na ambao wanafanya uchafu miongoni mwa wanawake wenu, washuhudizieni watu wane katika nyinyi. Watakapo shuhudia, basi wazuieni majumbani mpaka wafishwe na mauti au Mwenyezi Mungu awatolee njia nyengine.

Aya hii inahusu wanaume wao FIRANA!
👇🏽👇🏽
ayat 16 from Surah An-Nisa
﴿وَاللَّذَانِ يَأْتِيَانِهَا مِنكُمْ فَآذُوهُمَا ۖ فَإِن تَابَا وَأَصْلَحَا فَأَعْرِضُوا عَنْهُمَا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ تَوَّابًا رَّحِيمًا﴾
[ النساء: 16]

Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni. Na wakitubia wakatengenea basi waacheni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kupokea toba, Mwenye kurehemu.

Usione Wakristo ni maamuma dogo!; hata muham mad aka allah ametupa darja la Usomi na Ucha ucha MUNGU!
👇🏽👇🏽
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao wasomi na wacha Mungu, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.
 
Aya inayowahusu wazinifu hii hapa ni bakora.100!
👇🏽👇🏽
الزَّانِيَةُ وَالزَّانِي فَاجْلِدُوا كُلَّ وَاحِدٍ مِّنْهُمَا مِائَةَ جَلْدَةٍ ۖ وَلَا تَأْخُذْكُم بِهِمَا رَأْفَةٌ فِي دِينِ اللَّهِ إِن كُنتُمْ تُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ ۖ وَلْيَشْهَدْ عَذَابَهُمَا طَائِفَةٌ مِّنَ الْمُؤْمِنِينَ

[ AN - NUR - 2 ]
Mzinifu mwanamke na mzinifu mwanamume, mtandikeni kila mmoja katika wao bakora mia. Wala isikushikeni huruma kwa ajili yao katika hukumu ya Mwenyezi Mungu, ikiwa nyinyi mnamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Na lishuhudie adhabu yao kundi la Waumini.

Aya hii inahusu wanawake Wanao SAGANA
👇🏽👇🏽
ayat 15 from Surah An-Nisa
﴿وَاللَّاتِي يَأْتِينَ الْفَاحِشَةَ مِن نِّسَائِكُمْ فَاسْتَشْهِدُوا عَلَيْهِنَّ أَرْبَعَةً مِّنكُمْ ۖ فَإِن شَهِدُوا فَأَمْسِكُوهُنَّ فِي الْبُيُوتِ حَتَّىٰ يَتَوَفَّاهُنَّ الْمَوْتُ أَوْ يَجْعَلَ اللَّهُ لَهُنَّ سَبِيلًا﴾
[ النساء: 15]

Na ambao wanafanya uchafu miongoni mwa wanawake wenu, washuhudizieni watu wane katika nyinyi. Watakapo shuhudia, basi wazuieni majumbani mpaka wafishwe na mauti au Mwenyezi Mungu awatolee njia nyengine.

Aya hii inahusu wanaume wao FIRANA!
👇🏽👇🏽
ayat 16 from Surah An-Nisa
﴿وَاللَّذَانِ يَأْتِيَانِهَا مِنكُمْ فَآذُوهُمَا ۖ فَإِن تَابَا وَأَصْلَحَا فَأَعْرِضُوا عَنْهُمَا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ تَوَّابًا رَّحِيمًا﴾
[ النساء: 16]

Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni. Na wakitubia wakatengenea basi waacheni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kupokea toba, Mwenye kurehemu.

Usione Wakristo ni maamuma dogo!; hata muham mad aka allah ametupa darja la Usomi na Ucha ucha MUNGU!
👇🏽👇🏽
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao wasomi na wacha Mungu, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.
Msome tena ame-quote biblia, kuna aya inaitwa "samuel" kwenye Qur'an?

Mbona unahamisha magoli bila mpango?
 

WHOA! Yemen launches missile at Israel - Exoatmospheric ! ! ! !​


Hal Turner World October 07, 2024
WHOA!  Yemen Launches Missile at Israel - Exoatmospheric ! ! ! !


The group Ansarallah (Houthis) in the country of Yemen, launched a hypersonic missile toward Israel this morning (US time) and it was intercepted . . . . OUTSIDE Earth's atmosphere!

The hypersonic missile was intercepted by Israel's "ARROW" missile defense system.

The interception took place outside earth's atmosphere.

Someone has supplied the Houthis in Yemen with some of the most advanced missile technology known to mankind!

When the missile was fired, and went outside Earth's atmosphere, Air Riad Alerts went out for the entire country of Israel because, officials say, from space, that missile could strike literally anywhere in Israel.Yes,matters geopolitically are quickly spinning out of control, globally.
Nasisitiza tena tuchuje hizi habari ili tusiingizwe mkenge na watu wenye ajenda zao.Mpaka sasa dunia hii hakuna mfumo wowote unaoweza kuzuia kombora la Hypersonic.Juzi IRAN kapiga ballistic missile tu na hiyo arrow system haikuweza kuzizuia,eti leo wazuie kombora linalokwenda kwa kasi ya 6000--11000ms.Pengine kwa baadae lakini kwa sasa hakuna teknolojia hiyo.
 
Msome tena ame-quote biblia, kuna aya inaitwa "samuel" kwenye Qur'an?

Mbona unahamisha magoli bila mpango?
Kweli haimo Ndani yake Asiweke #ya magari kama mjuzi aweke hizo Aya tutamtia adabu!; au msaidie ww kuweka hayo mafungu...
 
Noted mkuu.
Nashangaa wanapohusisha dhambi hiyo na imani ya kikristo, wakati kuna waislam wengi tu wana practice huo ujinga. Ni vizuri watambue kuwa imani na tabia ya jamii flani ni vitu viwili tofauti.
Mfano IsIs ni waislamu na wanatumia maandikao ya quran kuhalalisha wanachokifanya. Lakini kuna baadhi ya islamic community wanapingana nao.
Sio baadhi bali UISLAM mzima haukubaliani na wanachofanya ISIS.
 
Nasisitiza tena tuchuje hizi habari ili tusiingizwe mkenge na watu wenye ajenda zao.Mpaka sasa dunia hii hakuna mfumo wowote unaoweza kuzuia kombora la Hypersonic.Juzi IRAN kapiga ballistic missile tu na hiyo arrow system haikuweza kuzizuia,eti leo wazuie kombora linalokwenda kwa kasi ya 6000--11000ms.Pengine kwa baadae lakini kwa sasa hakuna teknolojia hiyo.
Kwani mtu atakuwa na interest gani kuleta taarifa kama hizi,sioni.Halafu ni vema tukatamani kujifunza,kuliko kudhani kila tusichokijua hakipo.
 
Hao Israel wanaoshindwa na Hamas!?
Msiwaone Hizbollah kukaa kimya ni wajinga.
Kajifunze ya Bint Jubeir.
Hamas washukuru nchi zinazopakana na Gaza kuwakataa wapelestina maana huo mrundikano wa raia unawapa faida sana wakiambiwa waende north wanaenda nao raia wakiambiwa warudi south Hamas wanajichanganya nao tofauti na Lebanon kule raia wanauwezo wa kwenda Syria ama northern Lebanon hivyo kuwa expose Hizbullah kutoka kwenye kichapo Cha IDF.
 
Kwani hapo wamekwambia wataacha kurusha roketi au ceasefire ina masharti yake pia yasipo zingatiwa mwendo ni uleule
Lugha Yao Toka mwanzo ni kwamba hawataacha kurusha rockets mpaka IDF watakapositisha operation Gaza naona lugha inaanza kubadilika na mm nasema hakuna Cha ceasefire IDF pelekea moto hao wapumbavu
 
Back
Top Bottom