Yanayojiri Lake Tanganyika; Mashujaa vs Azam FC. Uchawi watamalaki mnyama akichinjwa hadharani

Yanayojiri Lake Tanganyika; Mashujaa vs Azam FC. Uchawi watamalaki mnyama akichinjwa hadharani

Kigoma Miaka yote walishindwa kuwa na timu ya ligi kuu.

Kama uchawi unafanya kazi Nigeria angekuwa na Bingwa mtetezo wa kombe la Dunia.
Ni ujinga ujinga tu Mkuu. Nitashangaa kama TFF na Bodi ya Ligi wataacha huu ujinga upite bila hatua yoyote ya maana.
 
dakika ya 67 AZAM 1 -MASHUJAA 0
DAKIKA YA 70 AZAM 2- MASHUJAA 0
dakika ya 74 AZAM 3 - MASHUJAA 0
Kwahiyo uchawi wao haukufua dafu, sio?
Mambo hayo awaachie mbumbumbu ndio wataalam.
 
Wamefungwa kirahisi sana, hizi timu zifocus kwenye kutafuta matokeo uwanjani sio kampeni za sijui Kigoma hatoki mtu...hiyo aliweza tu Mbeya City kipindi kile kwakua walikua na ubora mkubwa kuanzia wachezaji adi benchi la ufundi lakini pia viwango vya timu nyingi vilikua vinakaribiana sana...sio leo unacheza vs Kipre Junior, vs Feitoto, vs Bangala, vs Silla, vs Bajana, afu Dube, Nado, Lyanga wako benchi wanasubiri wewe umekalia tu kusema Lake Tanganyika hatoki mtu...ngoja waje Simba na Yanga watakula 8 hapo hapo waache kelele watafute matokeo home and away
 
Back
Top Bottom