View attachment 2801208View attachment 2801209View attachment 2801211
Imekuwa kawaida sana wana
Kigoma Region Tanzania kujivunia uchawi na ujinga wa aina hiyo ambao hata
Mshana Jr aliamua aachane nao.
Mashujaa ya Kigoma jana walifanya vitendo vya urozi hadharani kwa kumchinja kikatili mnyama.
Mungu si Arhumani wala @Wilfed Kidao, wana
Kigoma Region Tanzania wakakutana na kipigo kizito kutoka kwa watoto wa
tajiri.
Mkiendekeza uchawi, mtapigwa kila mechi mpotee kabisa kwenye ramani ya soka kama walivyopotea RTC KIGOMA & RELI KIGOMA