Yanayojiri Lake Tanganyika; Mashujaa vs Azam FC. Uchawi watamalaki mnyama akichinjwa hadharani

Yanayojiri Lake Tanganyika; Mashujaa vs Azam FC. Uchawi watamalaki mnyama akichinjwa hadharani

Kwahiyo uchawi wao haukufua dafu, sio?
Mambo hayo awaachie mbumbumbu ndio wataalam.
Nawatilia mashaka sana watu wanao amini uchawi katika mpira.

Mpira ni mchezo wa wazi, hao wachawi mbona huwa hatuwaoni wakifunga??
 
1698916606558.jpg
1698916597577.jpg
1698916601365.jpg

Imekuwa kawaida sana wana Kigoma Region Tanzania kujivunia uchawi na ujinga wa aina hiyo ambao hata Mshana Jr aliamua aachane nao.

Mashujaa ya Kigoma jana walifanya vitendo vya urozi hadharani kwa kumchinja kikatili mnyama.

Mungu si Arhumani wala @Wilfed Kidao, wana Kigoma Region Tanzania wakakutana na kipigo kizito kutoka kwa watoto wa tajiri.

Mkiendekeza uchawi, mtapigwa kila mechi mpotee kabisa kwenye ramani ya soka kama walivyopotea RTC KIGOMA & RELI KIGOMA
 
View attachment 2801208View attachment 2801209View attachment 2801211
Imekuwa kawaida sana wana Kigoma Region Tanzania kujivunia uchawi na ujinga wa aina hiyo ambao hata Mshana Jr aliamua aachane nao.

Mashujaa ya Kigoma jana walifanya vitendo vya urozi hadharani kwa kumchinja kikatili mnyama.

Mungu si Arhumani wala @Wilfed Kidao, wana Kigoma Region Tanzania wakakutana na kipigo kizito kutoka kwa watoto wa tajiri.

Mkiendekeza uchawi, mtapigwa kila mechi mpotee kabisa kwenye ramani ya soka kama walivyopotea RTC KIGOMA & RELI KIGOMA

Au watapotea Kama mbaga FC
 
View attachment 2801208View attachment 2801209View attachment 2801211
Imekuwa kawaida sana wana Kigoma Region Tanzania kujivunia uchawi na ujinga wa aina hiyo ambao hata Mshana Jr aliamua aachane nao.

Mashujaa ya Kigoma jana walifanya vitendo vya urozi hadharani kwa kumchinja kikatili mnyama.

Mungu si Arhumani wala @Wilfed Kidao, wana Kigoma Region Tanzania wakakutana na kipigo kizito kutoka kwa watoto wa tajiri.

Mkiendekeza uchawi, mtapigwa kila mechi mpotee kabisa kwenye ramani ya soka kama walivyopotea RTC KIGOMA & RELI KIGOMA
Wajinga sana pesa yao imeenda bure.. Uchawi ni booster tu tena ya kubahatisha .. Mpira ni mipango mazoezi na vipaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 2801208View attachment 2801209View attachment 2801211
Imekuwa kawaida sana wana Kigoma Region Tanzania kujivunia uchawi na ujinga wa aina hiyo ambao hata Mshana Jr aliamua aachane nao.

Mashujaa ya Kigoma jana walifanya vitendo vya urozi hadharani kwa kumchinja kikatili mnyama.

Mungu si Arhumani wala @Wilfed Kidao, wana Kigoma Region Tanzania wakakutana na kipigo kizito kutoka kwa watoto wa tajiri.

Mkiendekeza uchawi, mtapigwa kila mechi mpotee kabisa kwenye ramani ya soka kama walivyopotea RTC KIGOMA & RELI KIGOMA
Hatariii sana, ila watakuwa walitishia tu.
 
Back
Top Bottom