Ukome kumbetia mashujaaSirudii, nikirudia nitakua jeuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukome kumbetia mashujaaSirudii, nikirudia nitakua jeuri.
Nawatilia mashaka sana watu wanao amini uchawi katika mpira.Kwahiyo uchawi wao haukufua dafu, sio?
Mambo hayo awaachie mbumbumbu ndio wataalam.
Kigoma Miaka yote walishindwa kuwa na timu ya ligi kuu.
Kama uchawi unafanya kazi Nigeria angekuwa na Bingwa mtetezo wa kombe la Dunia.
Ushaambiwa Waha bila uchawi hawafanyi kitu, kwao uchawi ni chakula.Kama aya ndio yanayoendelea uko Kigoma kwenye uwanja wa mashujaa niseme tu Azam FC leo kazi wanayo siyo kwa ushirikina huu[emoji15][emoji15].. SLOGAN YAO MPIRA KIDOGO UCHAWIMWINGI.
View attachment 2799975
Hamna kitu muleWamelambishwa askrimu za bakhresa wamelewa
Na wamefungwaUshaambiwa Waha bila uchawi hawafanyi kitu, kwao uchawi ni chakula.
View attachment 2801208View attachment 2801209View attachment 2801211
Imekuwa kawaida sana wana Kigoma Region Tanzania kujivunia uchawi na ujinga wa aina hiyo ambao hata Mshana Jr aliamua aachane nao.
Mashujaa ya Kigoma jana walifanya vitendo vya urozi hadharani kwa kumchinja kikatili mnyama.
Mungu si Arhumani wala @Wilfed Kidao, wana Kigoma Region Tanzania wakakutana na kipigo kizito kutoka kwa watoto wa tajiri.
Mkiendekeza uchawi, mtapigwa kila mechi mpotee kabisa kwenye ramani ya soka kama walivyopotea RTC KIGOMA & RELI KIGOMA
Wajinga sana pesa yao imeenda bure.. Uchawi ni booster tu tena ya kubahatisha .. Mpira ni mipango mazoezi na vipajiView attachment 2801208View attachment 2801209View attachment 2801211
Imekuwa kawaida sana wana Kigoma Region Tanzania kujivunia uchawi na ujinga wa aina hiyo ambao hata Mshana Jr aliamua aachane nao.
Mashujaa ya Kigoma jana walifanya vitendo vya urozi hadharani kwa kumchinja kikatili mnyama.
Mungu si Arhumani wala @Wilfed Kidao, wana Kigoma Region Tanzania wakakutana na kipigo kizito kutoka kwa watoto wa tajiri.
Mkiendekeza uchawi, mtapigwa kila mechi mpotee kabisa kwenye ramani ya soka kama walivyopotea RTC KIGOMA & RELI KIGOMA
Hatariii sana, ila watakuwa walitishia tu.View attachment 2801208View attachment 2801209View attachment 2801211
Imekuwa kawaida sana wana Kigoma Region Tanzania kujivunia uchawi na ujinga wa aina hiyo ambao hata Mshana Jr aliamua aachane nao.
Mashujaa ya Kigoma jana walifanya vitendo vya urozi hadharani kwa kumchinja kikatili mnyama.
Mungu si Arhumani wala @Wilfed Kidao, wana Kigoma Region Tanzania wakakutana na kipigo kizito kutoka kwa watoto wa tajiri.
Mkiendekeza uchawi, mtapigwa kila mechi mpotee kabisa kwenye ramani ya soka kama walivyopotea RTC KIGOMA & RELI KIGOMA
Ni vitisho tu sio uchawi..wamewaiga Simba
Ni ujinga umewatawalaHatariii sana, ila watakuwa walitishia tu.
Ila na nyie Simba mlituabisha sana kule South AfricaWajinga sana pesa yao imeenda bure.. Uchawi ni booster tu tena ya kubahatisha .. Mpira ni mipango mazoezi na vipaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Kigoma Region Tanzania njoo mjibu kesi huku
Umega kabisa kwenye donda![emoji23][emoji23][emoji23]wamewaiga Simba
Ule haukuwa uchawi bali tambikoIla na nyie Simba mlituabisha sana kule South Africa
Walikuwa wanatambikia mizimu ya wapi?