Yanayojiri Lake Tanganyika; Mashujaa vs Azam FC. Uchawi watamalaki mnyama akichinjwa hadharani

Kwenye mpira hayo mambo yapo,
Ila kwa ukatili walioufanya kwa huyo kiumbe kipigo kiendelee kuwakuta tu mashujaa..
 
Bhaya mambo ni yakufanyika kwa simba na yanga sio timu zisizo jiweza😂😂😂 mnamlipa mganga aftatu mnatarajia nn lazima mpigwe tatu
 
Bhaya mambo ni yakufanyika kwa simba na yanga sio timu zisizo jiweza😂😂😂 mnamlipa mganga aftatu mnatarajia nn lazima mpigwe tatu
Kuna nchi gani inaishinda Congo kwa uchawi?
 
Huyo paka
 
Pumbavu sana wamemuua paka kikatili hivyo? Ni haki yao kufungwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…