Beautiful women👏👏👏Ubungo darajani hapa, nimeona kina mama wawili mdogo mdogo wanajongea uelekeo wa Airport kumpokea Tundu Lissu.
Video na picha zikionyesha shangwe za wanafunzi baada ya msafara wa Tundu Lissu kupita wanaimba raisi raisi. View attachment 2495279View attachment 2495278View attachment 2495280View attachment 2495281
Video na picha zikionyesha shangwe za wanafunzi baada ya msafara wa Tundu Lissu kupita wanaimba raisi raisi. View attachment 2495279View attachment 2495278View attachment 2495280View attachment 2495281
TL ni mtu mwema sana.Waikubali CHADEMA, WATOTO wa SHULE WALIVYOMPIGIA SHANGWE TUNDU LISSU, MWENYEWE ASHANGAA...
Na kwa hili Mungu wa Israel na atende matendo makuu. AminaKaribu Nyumbani Lissu.
MUNGU alikuwa na makusudi yake kuendelea kukuacha Hai, pengine anataka utusaidie kutunga Katiba mpya itakayokuwa mkombozi kwa vizazi vijavyo.
Pia mama Samia ataweka Historia ya kuwasaidia Wazanzibari kuwa Huru na kupata Muungano unaoendana na mazingira ya sasa.
Nawatakia Mema sana.
Barabara zipi hizo ?Aisee,huyu mtu anapendwa sana,watu kama sisimizi,Vibe sio mchezo mpaka barabara zimefungwa]
Mimi nilikuwepo ila siyo nchi nzimaMbona wamesema nchi zima iko uwanja wa ndege kumpokea Lissu kumbe uongo
Kuliwa tunda kimaskhara ungependeza zaidiuwekwe kwenye kula tunda kimasihara
Mtu mwingine kasema na Mbowe pia hajaenda au kakosa pombe maana yeye mpaka alewe kwanzaMimi nilikuwepo ila siyo nchi nzima
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uwekwe kwenye kula tunda kimasihara
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mtu mwingine kasema na Mbowe pia hajaenda au kakosa pombe maana yeye mpaka alewe kwanza
Mbowe atampokea pale wanapofanyia Mkutano TemekeMtu mwingine kasema na Mbowe pia hajaenda au kakosa pombe maana yeye mpaka alewe kwanza