dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,991
Muda huu Tundu Lissu yupo Siha mkoani Kilimanjaro moja ya majimbo sugu yanayotawaliwa na CCM mkoani humo.
Hili ndilo jimbo la Agrey Mwanri sambamba na Godwin Molel ambaye alikatwa CCM mwaka 2015 kisha Chadema wakamchukua na akanyakua jimbo hilo kabla ya kuunga mkono juhudi na kurudi CCM alikotokea.
Hili ndilo jimbo la Agrey Mwanri sambamba na Godwin Molel ambaye alikatwa CCM mwaka 2015 kisha Chadema wakamchukua na akanyakua jimbo hilo kabla ya kuunga mkono juhudi na kurudi CCM alikotokea.