Uchaguzi 2020 Yanayojiri Mkutano wa Tundu Lissu jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro

Uchaguzi 2020 Yanayojiri Mkutano wa Tundu Lissu jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro

Usifananishe ethiopia na tanzania, wa ethiopia wengi wanakimbia kwasababu ya uchumi,

wengi wao wanategema ajira kwenye sector ya kilimo shida inakuja sasa kwenye umiliki wa ardhi,viongozi wanamiliki maeneo makubwa ya ardhi ambayo masikini hawana uwezo na mamlaka nayo .

Sehemu nyingine ni uduni wa rutuba wa hiyo ardhi mwisho wake inawaletezea kukosa ajira kwenye sector hiyo na kuwafanya watafute unafuu.
pia wa ethiopia wengi ni wavivu wanapenda kazi legelge.

Tofauti na huku kwetu ardhi unapata mpaka laki kwa heka ardhi nzuri kwa kilimo ,sera nzuri kwa wakulima utakimbia kwenda ulaya ili iweje?
Serikali ya JPM kama mnavoona inajenga barabara zilizo bora mpaka vijijini ili tu mkulima naye ale mema ya nchi kwenye hili ethiopia usitulinganishe nayo kabisa.

..tatizo la Waethiopia ni kuzaana kupita kiasi.

..Ethiopia hawana resources za kutosha kwa mfano ardhi, na uchumi wao hautengenezi ajira za kutosha kwa ajili ya waliokosa ardhi.

cc Chige
 
Muda huu Tundu Lissu yupo Siha mkoani Kilimanjaro moja ya majimbo sugu yanayotawaliwa na CCM mkoani humo.

Hili ndilo jimbo la Agrey Mwanri sambamba na Godwin Molel ambaye alikatwa CCM mwaka 2015 kisha Chadema wakamchukua na akanyakua jimbo hilo kabla ya kuunga mkono juhudi na kurudi CCM alikotokea.

2015 alikuja lowasa hapa siha hajafua dafu la lisu
 
Lissu, the great.. Mungu ambariki sana Tundu Lissu. Ujio wake una maana sana kwa wananchi wa Tanzania.
 
Mapenzi ya kinyume na maumbile apa Tanzania hatupo tayari.
 
Rais wetu kipenzi. Kilichobaki ni aapishwe tu jamani. Hakuna zaidi ya Tundu Lissu.
 
Marangu
Subpost 2 - MARANGU muda huu.. ( 359 X 640 ).jpg
Subpost 1 - MARANGU muda huu.. ( 359 X 640 ).jpg
 
Back
Top Bottom