dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,991
Atakuwa anamjua kuwa ni mtu wa mchakamchaka, kumbuka BUNGE alivyokuwa akilikimbiza mpaka kutaka kumuua.Aliyepiga wimbo wa Tundu Lissu Wapeleke mchakamchaka aliwaza mbali sana aisee
Daa aliwaza sana sio kwa mchakamchaka huu hadi Mkurugenzi anapanda bodaboda ili awahi foleni?Atakuwa anamjua kuwa ni mtu wa mchakamchaka, kumbuka BUNGE alivyokuwa akilikimbiza mpaka kutaka kumuua.
Hivyo vitu vipo Ethiopian kuliko kwetu, Ethiopian ina midege, ina treni za uneme, ina mafly over makao makuu ya Au yapo Adis Ababa lakini nchi hiyo ndii inaongoza kwa raia wake kukimbia maisha magumu nyumbani kwao.JPM alidhani maflyover, mareli, ma-ndege ndio vitu vya kuombea kura. Kwa dunia ya leo hivyo vitu sio vya kutishia watu; hata watoto wanaviona kila siku kwenye Tv,simu,games nk
Watu wanataka furaha, amani, haki, heshima, shibe - kuishi bila hofu... wameyakosa haya kwa miaka mi5.
Muone huyuNikiwa rais sitaingilia faragha!!!View attachment 1585652
Leo nimemsikia huko Mbeya sasa anawambia ... Nilimchagua msomi Tulia kuwa Mbunge. Sijui Tulia ndiyo maendeleo ya watu wa Mbeya!!JPM alidhani maflyover, mareli, ma-ndege ndio vitu vya kuombea kura. Kwa dunia ya leo hivyo vitu sio vya kutishia watu; hata watoto wanaviona kila siku kwenye Tv,simu,games nk
Watu wanataka furaha, amani, haki, heshima, shibe - kuishi bila hofu... wameyakosa haya kwa miaka mi5.
SASA ndiyo umeandika nini mbona hamna point hapoLeo nimemsikia huko Mbeya sasa anawambia ... Nilimchagua msomi Tulia kuwa Mbunge. Sijui Tulia ndiyo maendeleo ya watu wa Mbeya!!
Kuiba kura?Aisee huyu jamaa sioni njia ya kumzuia
wewe ndiyo mpuuzi sasa mtu ana sema mwenyewe akiwa rais ushoga anaruhusu wewe unabishakazi mnayoweza ni kutunga upuuzi kama huu,hayo ndo yaliyobaki na mnayoyaweza,hamwezi hoja nzito ila vitu vya kufunga, yani akili zenu CCM na kunguni tofauti ni miili ila akili zinafanana
mzee wa flyover, na ndege zake bado anahemea kuraMuone huyuView attachment 1585671
lete ushahidi wa video akioga naona wewe ndo unataka ushoga umeshikia bangowewe ndiyo mpuuzi sasa mtu ana sema mwenyewe akiwa rais ushoga anaruhusu wewe unabisha