Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Wewe na wewe unajiona binadamu mwenye akili?JPM alidhani maflyover, mareli, ma-ndege ndio vitu vya kuombea kura. Kwa dunia ya leo hivyo vitu sio vya kutishia watu; hata watoto wanaviona kila siku kwenye Tv,simu,games nk
Watu wanataka furaha, amani, haki, heshima, shibe - kuishi bila hofu... wameyakosa haya kwa miaka mi5.
Futa ujinga wakoLeo nimemsikia huko Mbeya sasa anawambia ... Nilimchagua msomi Tulia kuwa Mbunge. Sijui Tulia ndiyo maendeleo ya watu wa Mbeya!!
Unataka kuwe na mfanano ili mpate cha kusema huku watu wanapenda live coverage kuliko still picture yaani live bila chenga kuwa mvumilivu waliopiga picha watakurushia😂😂😂Karatu mliweka picha za kutosha,huku kili mnatumwagia video bila picha aiseee
Upuuzi wa mijitu isiyo na akili.Magufuli yeye amesema anaomba SUGU amsugue sijui wapi
Unataka kuwe na mfanano ili mpate cha kusema huku watu wanapenda live coverage kuliko still picture yaani live bila chenga kuwa mvumilivu waliopiga picha watakurushia😂😂😂
Wameshaanza kupiga magoti si umeona kule Njombe magu na timu yake walivyoanguka magotini? Lissu anafurahisha.Aliyepiga wimbo wa Tundu Lissu Wapeleke mchakamchaka aliwaza mbali sana aisee
Achilia melodi tu ujumbe uliopo hapo ndan i ni wa hali ya juu sanaaAliyepiga wimbo wa Tundu Lissu Wapeleke mchakamchaka aliwaza mbali sana aisee
Magufuli yeye amesema anaomba SUGU amsugue sijui wapi
ni katiba ndo imesema serikali isiingilie faragha za watu ,na amesema serikali ikitaka kuingilia basi isivunje katiba ibadili hicho kipengele ,ulichoelewa ni nini we kunguni kwelisubiri huo ushahidi wa video naona hata kusikiliza hotuba za shoga yako husikilizagi ameshasema haingilii faragha ya mtu hata iwe ya jinsia moja halafu wewe unataka video yaani wenaona unaakili za kuvukia barabara tu
Huyu mzee naona anahitaji mapumziko mengine ya wiki .... Kwa kweli anaonekana amechoka. Sauti imekauka!!Magufuli yeye amesema anaomba SUGU amsugue sijui wapi
Ataenda siku tatu za mwishoHvi hyu mwamba anatua lini singida, naamini hayo mapokezi yatatia fora.
Wamshauri atulie kazi zake zimpigie kampeniHuyu mzee naona anahitaji mapumziko mengine ya wiki .... Kwa kweli anaonekana amechoka. Sauti imekauka!!
Aliyepiga wimbo wa Tundu Lissu Wapeleke mchakamchaka aliwaza mbali sana aisee
Usifananishe ethiopia na tanzania, wa ethiopia wengi wanakimbia kwasababu ya uchumi,Hivyo vitu vipo Ethiopian kuliko kwetu, Ethiopian ina midege, ina treni za uneme, ina mafly over makao makuu ya Au yapo Adis Ababa lakini nchi hiyo ndii inaongoza kwa raia wake kukimbia maisha magumu nyumbani kwao.
Kula siku Tanzania wanakamatwa Waethiopia wanaopita transit kwenda kutafuta maisha South Africa.
Hata Marekani nchi ya Africa yenye wahamiaji wengi Marekani ni Ethiopia, na hivi vitu vingekuwa navmaana katika maisha ya watu Makaburu mpaka leo wangeendelea kutawala South Africa maana wameijenga ile nchi kuluko nchi nyingi za ulaya hawaifikii South Africa kimaendeleo.
Hilo ni la sound system ,majukwaa,minara ya speaker. UPO KUBWA J.ING.A.A.A.A.A.A??🤣🤣🤣🤣HILO LORI HAPO PEMBENI NDIYO LA KUBEBEA WATU KUWALETA MKUTANONI KWELI LISSU KAISHIWA
anaejua ulipigwa na nani atujuzeAliyepiga wimbo wa Tundu Lissu Wapeleke mchakamchaka aliwaza mbali sana aisee
Aliyepiga wimbo wa Tundu Lissu Wapeleke mchakamchaka aliwaza mbali sana aisee
Aliyepiga wimbo wa Tundu Lissu Wapeleke mchakamchaka aliwaza mbali sana aisee
Huyu Mzee amechoka aisee.Upuuzi wa mijitu isiyo na akili.