Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Moderator wa leo mchana kaniletea mtimanyongo , sijui nimripoti wapi , hivi kesi ya nyani unaweza kumpa ngedere ?Tunakuaminia Kamanda kwa update ...Ratiba ya kesho Muhimu Maelfu wanaisubiria...
Ila mama Makinda alikuwa anamkubali sana Lissu!Atakuwa anamjua kuwa ni mtu wa mchakamchaka, kumbuka BUNGE alivyokuwa akilikimbiza mpaka kutaka kumuua.
aiseeh ndo maana amsha leo kama zimebanwa....Tunakuaminia kwa habari MKUUModerator wa leo mchana kaniletea mtimanyongo , sijui nimripoti wapi , hivi kesi ya nyani unaweza kumpa ngedere ?
Alikuwa anampaga definitionIla mama Makinda alikuwa anamkubali sana Lissu!
Wee ndo jinga kabisa lissu kasema futeni kwanza kipengele hicho cha katiba yenu mliotunga ccm Kama kwel mnapinga ushoga mbona hamtaki kufuta Sasa wapuuzi nyiewewe ndiyo mpuuzi sasa mtu ana sema mwenyewe akiwa rais ushoga anaruhusu wewe unabisha
Ndio tabia za wanafikiMuone huyuView attachment 1585671
DefinitelyElitwege, JPM alidhani maflyover, mareli, ma-ndege ndio vitu vya kuombea kura. Kwa dunia ya leo hivyo vitu sio vya kutishia watu; hata watoto wanaviona kila siku kwenye Tv,simu,games nk.
Watu wanataka furaha, amani, haki, heshima, shibe - kuishi bila hofu... wameyakosa haya kwa miaka mi5.
Subirini atakavyo waponda kwenye box la kura tarehe 28/10, wali wa kujaa huonekana kwenye sahani.Yani Jiwe angetakiwa aelewe tu kuwa wananchi sasa hata awa-promise nini, hawamuelewi chochote. Wananchi wanataka wapewe Lissu tu.
Amelikoroga mwenyewe kujidai mbabe, mnyanyasaji, mwenye nchi (wakati ni mtumishi wa Watanzania), mtesi..
Ethiopia Addis Ababa kuna maflyovers hatuna mfano wake.Elitwege, JPM alidhani maflyover, mareli, ma-ndege ndio vitu vya kuombea kura. Kwa dunia ya leo hivyo vitu sio vya kutishia watu; hata watoto wanaviona kila siku kwenye Tv,simu,games nk.
Watu wanataka furaha, amani, haki, heshima, shibe - kuishi bila hofu... wameyakosa haya kwa miaka mi5.