Shida inakuwa mawakala wanawekewa mizengwe...Uchaguzi mkuu unatakiwa kura huru na haki kwa kiwango hiki
Lisu 52%masai dada nini kinaendelea? I am out of information reach
Atawaambia nyinyi wenyewe mmeona mambo yalikuwa taiti sana wazeeMbowe amejua jinsi ya kujinasua kwenye lawama na mtego wa kina Abduli
Hawa jamaa wanapitia wkt mgumu sn,Dakika za jioniii View attachment 3209705
Ulidhani Mbowe angesemaje?Ewaaaaaaaaaaaaaa. Leo sijui kama nitafanya kazi kwa raha nilizonazo. Mimi nampongeza zaidi Mbowe kuliko Lissu
cocochanel umeiona hii risiti?Hapiti mwanenu
Eti anajiona Jenerali
Jenerali gani anakimbia midahalo
Kama Jenerali unakimbua mdahalo utaziweza risasi?
Hatufai
Sema kweli mkuu, natokwa na machozi ya furaha mimi jamani.Lisu 52%
Na mbowe kashampongeza
Rasmiiii ni TAL
Nini maoni yako mkuu kwa ushindi wa LISSU & HECHEX wanasema Lisu kashinda by 52%
😂😂😂😂😂😂😂masai dada nini kinaendelea? I am out of information reach
Acha masihara wewe 🤣🤣nimerudia kwenye geti la hosp.
Giza (mbowe) huondolewaa na Nuru (lisu) na iwe ivyo...HAYA NI MATOKEO YA AWALI MA
Hongera Lissu Hongera Heche,
Tanzania imeshinda kawatumikieni Wananchi na Wanachama wenu
View attachment 3209650
Majira ya Musa hayakuwa na issue nyingi za vita katika kudai haki yao kwa wana wa Israel ila Aliposhika kijiti Yoshua mambo yalibadilika.Chama tawala wasifanye mambo kwa mazoea?... Fafanua.
AHhahhahahahhhahahahahahahhhhh... DJ weka wimbo wa ONE LOVE!Atawaambia nyinyi wenyewe mmeona mambo yalikuwa taiti sana wazee