Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Count the blessings
Your browser is not able to display this video.
 
Kwa mara ya kwanza... Hakutakuwa na matumizi ya busara!

Kuanzia juzi kuna kitu kilikuwa kina-click kichwani kikiniambia Abduli & Co watapigwa asubuhi na mapema!

Wanaweza kugeukia kwenye kuteka na kuumiza watu sasa.
 
Mimi mfuasi wa CUF ngangari Ile ya JINO KWA JINO ya Maalim Seif kijana natangaza Rasmi kuiunga mkono CDM 2025.

JINO KWA JINO hakuna maridhiano,
Umenikumbusha mbali sana piga kura kaa mita 100,wanatoka manzese hadi tegeta na fuso yaani maana ya fuso ni kwa miguu wakiwa na goma kubwa.
 
Basi tu ni vile chaguzi zetu bila wizi wa kura matokeo hayabadiliki ila kiukweli 2025 mama hatoboi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…