Unaniangusha tena Mama D migogoro hata CCM ipo, kunapokuwa na mabadiliko hayo hayaepukiki, mimi sina chama chochote ila kuna muda natamani upinzani waongoze nchi tuone uwezo wao pia, narudia tena hili linawezekana wananchi wakiachwa waamue kama demokrasia inavyotaka.Ili wafae lazima wapambane kutuaminisha wanafaa
Kama nyerere na kina Mandela walivyofanya
Sio kulialia kama watoto wadogo
Mimi badae naagiza kitimoto Na pepsiKwa wale ambao sio wapenzi wa pombe embu tuhakikishe leo tunakula makange ya kuku au ya mbuzi mchana na usiku.
Uso usio na matumaini
Karibu hapa tumechinja kitimoto watatu, kinywaji unachaguaMimi badae naagiza kitimoto Na pepsi
Sio mzima huyu jamaa
ππKweli pale kila mtu aliona tayari imeisha. Ila Bon alipokuwa anahesabu kura zake ziliisha haraka kama zinayeyuka π€£
Anawashwa naniliu. πππ€£Mama D mbona una hasira shida nini?
Huyu jamaa nadhani kaona aibu sana
Chawa hawaonagi aibu mkuuHuyu jamaa nadhani kaona aibu sana
Nakuja pm masterWeka namba nikujazid minyama mkuu leo hakuna kulala. Bundle sio tatizo tatizo charge hakikisha ngoma iko full
ππππNa kweli kabisaUsiamini wajumbe,wajumbe wanaweza kukuomba ugombee ili wakunyime kura
Unaumia ukiwa wapi mda huuSote ni mashuhuda kwamba Freeman Aikaeli Mbowe anaungwa mkono na wajumbe wa mkutano mkuu wengi zaidi ya mgombea uenyekiti mwingine yeyote wa chadema, na kwahivyo anakwenda kushinda uchaguzi huu kwa kishindo.
Tayari visingizio kutoka kwa wapambe wa wagombea wanaowafungia wajumbe wao kwenye nyumba za kulala wageni, huku wakikosa kujua ratiba na kinachoendelea kwenye ukumbi wa uchaguzi, wameanza kupiga mayowe ya kushindwa, kanakwamba kuna rafu za uchaguzi hali ya kua wanajitakia wenyewe. Ni vichekesho na makusudi ya kujitakia tu, eti mpaka sasa kuna wajumbe hawajasajiliwa na hawana vitambulisho, wamefungiwa ndani tu.
Prof. Kitila Mkumbo amebainisha wazi kwa umma kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwmba, Freeman Aikaeli Mbowe hawezi kugombea nafasi ya uongozi ambayo hatashinda.
Ni muhimu sana wadau wa JF na wanachadema kwa ujumla, kuzingatia kauli hii ya kitaalamu kutoka kwa mwanafalsafa huyu wa siasa za Tanzania.
Kila la kheri wajumbe,
Kila la kheri Mbowe na Asanti Lisu kwa kushiriki uchaguzi wa chadema ngazi ya taifa.π
Mungu Ibariki Tanzania