Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hawajui chadema imefikaje ilipo, wanapiga kelele tu.Kuna wajinga wanajizima data tu!
Nani? Lucas Mwashambwa?Bila shaka utabubujikwa machozi ya furaha na kulia kwa kwikwi huku ukigalagala chini
Chama hakiwezi kwenda kwa diaspora utafikri sisi siyo watu!Hata hawajui chadema imefikaje ilipo, wanapiga kelele tu.
Wanajiita Team Lisu wahuni tu.
Mbowe lazima kwa ukomavu wa chama.NDUGU WAJUMBE TULETEENI LISSU NA HECHE KATAENI RUSHWA KIOKOENI CHAMA.
PEOPLE'S POWER!!!! ✌️
YANGU NI HAYO TU.✌️
Mbowe juuMshindi ashinde, yoyote tu kati yao.
🍿🍿🍿
Maana wanajua L na M, tayari wao nani wanataka awe Mwenyekiti
Nawapa pongezi nyingi kwa script waliyoandika na kufanyikiwa kutoa drama bombaaaaaa iliyoteka wengi wenu.
Zinavyoendelea wapi?Kwa votes zinavyoendelea lisu ni mwenyekiti wetu huku
Wahuni wale kucha kutwa wako kwenye mitandao, kazi iko hapa ground.Chama hakiwezi kwenda kwa diaspora utafikri sisi siyo watu!
Boss hapa ulimaanisha nini?'Ikimahanisha'
Bora Odero kuliko mboweTwende na ODERO
Lengo lenu wanaCCM ni CHADEMA ipuuzwe na Wananchi.Mbowe lazima kwa ukomavu wa chama.
Tizama ukumbi ulivyojaa na kupendeza, yote kafanya mwenyekiti Mbowe.
Diaspora ni maadui wa nchi?Chama hakiwezi kwenda kwa diaspora utafikri sisi siyo watu!
Usiku taa zikizimwa watu wanadumbukia na masanduku ya kura🐼Naona dalili zote hii ngoma inakwenda mpaka mishale ya usiku.
Mkuu hii ni January, tusiwalaumu sana😏NDUGU WAJUMBE TULETEENI LISSU NA HECHE KATAENI RUSHWA KIOKOENI CHAMA.
PEOPLE'S POWER!!!! ✌️
YANGU NI HAYO TU.✌️
Mnyika Kwa makusudi, anapoteza muda ili usiku uingie, CCM waingie kaziniProtocol mbovu, lawama nyingi, zisizo na ushahidi halisi, eti, mkataba mbovu wa bandari, je wanaweza kuthibitisha hilo?
N. B, uchaguzi ufanyike mapema mchana peupe, Usiku una mengi, + kukatika kwa umeme usiku huo, zubaeni muone kazi 😊