Mbowe hana matatizo kama ambavyo watu mnavyojaribu kulazimisha aonekane, the guy is very humble. Basi tu siasa ni upepo, ukilazimisha kupingana nao utapewa kila sifa chafu. Nilipenda asigombee, lakini pia sipendi anavyochafuliwa, si uungwana kabisaZitakuwa hujuma za mbowe kwa msaada wa ccm
Mkuu jifunze kuwa mstaarabu kwa watu hata ktk mapungufu madogo madogo.Nyie watu mapumbavu sana John Lema ni nani?
Huku Clouds wameshazingua, dah.Lema ameingia hapa ameshangiliwa? Inaonekana wajumbe wote ni Team Lissu.
Unatumia king'amuzi gani mkuu?Huiu Clouds wameshazingua, dah.
Kura za maruhani.Haya mabegi ni ya nini sasa?
Kwa niaba ya FAM, napenda kukushukuru sana kwa udhati wa moyo wangu.Mbowe niko nyuma yako ushindi ni wako.
Natumia DStv Mkuu, ndio nilikuwa naitegemea Clouds wao wanachukua huko UTV wanatuonesha LIVE pia.Unatumia king'amuzi gani mkuu?
Kama ni Azam TV tazama UTV wako LIVE, kila mara wanamuonesha LEMA hapa. Panazidi kuwa pamoto.
Mnamwamini sana?Godbless Lema ndiye wakala wa kusimamia kura za Lissu.
Wamependeza, hawajapendeza?Taarifa ndio kama unavyoisoma, hii ndio maana halisi ya Stronger Together.
Pamoja na mashambulizi yote ya mitandaoni lakini hali ndio kama mnavyoona.
View attachment 3208873
Kura za mbowe zimeingizwa 😂
Pole sana Mkuu, wameanza sasa mchakato wanataja majina.Natumia DStv Mkuu, ndio nilikuwa naitegemea Clouds wao wanachukua huko UTV wanatuonesha LIVE pia.
Hapo kilichoandikwa kinahusiana nini na mtu kumuamini?Mnamwamini sana?
Dkt. Slaa kaula urais wa Australia.Nani kashinda?
Mabegi makubwa hivi ya kazi gani kwenye mkutano wa siku moja? Tena uchaguzi?
Wewe bwanaa unataka tuanze kuwaza vitu Gani tena lakiniMnamwamini sana?
Jambo TVHuku Clouds wameshazingua, dah.