Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Wakuu,mbona kama Lissu amefanyiwa fujo za makusudi kwa kupigiwa makelele wakati anajiinadi na kujibu maswali?Je na Mbowe ilikuwa hivyo hivyo maana nimechelewa Mbowe sikumsikiliza..
Ni kama jamaa walidhamiria kumharibia ila Mungu aliyemtetea asiuawe, atamtetea na hapa.
 
Wajumbe wanakuwa kama watoto wa Standard 4.

Hawafuati maelekezo.
 
Wajumbe wanakuwa kama watoto wa Standard 4.

Hawafuati maelekezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…