Ni kama jamaa walidhamiria kumharibia ila Mungu aliyemtetea asiuawe, atamtetea na hapa.Wakuu,mbona kama Lissu amefanyiwa fujo za makusudi kwa kupigiwa makelele wakati anajiinadi na kujibu maswali?Je na Mbowe ilikuwa hivyo hivyo maana nimechelewa Mbowe sikumsikiliza..