Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Hii mvua kubwa leo Dar es Salaam ni ishara ya ujio mpya na Moshi mweupe hivyo ni Ishara ya LISSU. Lakini kiuhalisia nafatilia live hapa kura za Mbowe ni nyingi zaidi
Mvua inanyesha mpaka huku Kwetu Ruvuma
 
Kila mtu anajidai ana taarifa nyeti. Uchaguzi umefanyika peupe kabisa, hatuhitaji taarifa zenu, kila kitu kinaonekana machoni kwa wajumbe
 
Nilihesabu za Lema Jambo Tv ikiwa Live, fungu zimekua 51, sasa sijui fungu moja lina kura ngapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…