X wanasema Lisu kashinda by 52%Wajumbe wa Mbowe wameanza kukimbia ukumbini π π
Tupe na za Odero
Ni chuki na wengi wa wanaccm humu wameonesha chuki sana dhidi yake.Simchukii ila namsema kama yeye anavyosema wengine
Hekima zake hazijasaidia chama...kwa Hamasa hii gombea ubunge hata jimbo la mtama ufashinda.X matokeo tayari. Lisu 52% ameshinda. lakini kwangu bado hafai hata kidogo. Chama kitakufa huko mbele maana Mbowe alikuwa na subira ya hekima.
Ni chuki na wengi wa wanaccm humu wameonesha chuki sana dhidi yake.Simchukii ila namsema kama yeye anavyosema wengine
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] aiseeleo mchawi bundle tu
Si X tu hata hapa JF tulikuwa tumeyapata matokeo kama yalivyo LISSU ana 510+.. Mbowe sikuweka umakini kuhesabu.X wanasema Lisu kashinda by 52%
Mama D unaniangusha banaa π
Kama mnataka kujua wapinzani ni wabovu au wazuri kuongoza nchi, ruhusuni wananchi waamue pasi CCM kuingilia baada ya hapo wannchi wataona tuwarudishe CCM au Upinzani uchaguzi ujao baada ya kuona utendaji wao.
Mkiwa mnasema hawafai hawafai kuongoza wakati hata miaka mitano hawajakaa uongozini huoni uongo, toeni nafasi (Demokrasia ya kweli).
π€ Mama D nini banaa π
Goli la mkono si yupo πHapa timu Mbowe ndio tunahitaji mzalendo kama marehemu Mzee Jecha
Sasa lema anaharibu ladha ya ushindi.Salaam za GodView attachment 3209651
Mama D mbona una hasira shida nini?Kwa asubuhi sina labda hizo zako za nyuma ndio zinakutesa
Mfyuuu
DaahHongera Lissu Hongera Heche,
Tanzania imeshinda kawatumikieni Wananchi na Wanachama wenu
View attachment 3209650