Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .

Attachments

  • Screenshot_20250122-080737.png
    Screenshot_20250122-080737.png
    510.1 KB · Views: 2
Mama D unaniangusha banaa 😁
Kama mnataka kujua wapinzani ni wabovu au wazuri kuongoza nchi, ruhusuni wananchi waamue pasi CCM kuingilia baada ya hapo wannchi wataona tuwarudishe CCM au Upinzani uchaguzi ujao baada ya kuona utendaji wao.

Mkiwa mnasema hawafai hawafai kuongoza wakati hata miaka mitano hawajakaa uongozini huoni uongo, toeni nafasi (Demokrasia ya kweli).

🎤 Mama D nini banaa 😅

Ili wafae lazima wapambane kutuaminisha wanafaa

Kama nyerere na kina Mandela walivyofanya

Sio kulialia kama watoto wadogo
 
CCM walijiachia sana wakaona Nchi hii yao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom