Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Huyo ndo anafaa kuwa ht makamu mwenyekitiHahahha ila huyu jamaa anachekesha umenikumbusha kwenye mdahalo.
Alisema aliwahi kushauri kwenye magroup kuwa maandamano lazima yawe na mikakati vinginevyo hayatakuwa maandamano ya amani bali ni matembezi ya amani.
Halafu lika propose hoja yake kuwa wanawake waende nyumbani kwa spika wa bunge wakiwa maziwa yako wazi.
Yani ni full vichekesho.