Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
CHADEMA kimethibitisha ukubwa wake.. Nchi imesimama inasubiri matokeo
Wakulaumu wanalaumu
Wakubeza wanabeza
Wahuni
Washambenga
Maadui wote wamejazana hapa hawajalala kabisa😂😂😂
downloadfile.jpg
 
Je kila mwanachama angepata hivyo vijitabu? Au wajumbe tu ndio wangepata?

Ripoti ya utekelezaji haiwahusu tu wajumbe waliohudhuria bali pia wanachama wote nchi nzima kwahiyo ilikuwa sahihi.

Fidel Castro aliwahi kutoa speech ya masaa 4 na dakika 29 UN. Kwani walishindwa kumuambia awagawie transcripts wasome ili waokoe muda?
Maana ya uwakilishi ni nini? Watu wachache wanafanya maamuzi kwa ajili ya wengi.

Hao wajumbe wangepewa ripoti ili kupeleka kwenye maeneo yao, huku taarifa ya msingi ya majumuisho ndiyo pekee ingesomwa kwenye mkutano. It's a matter of pros and cons.

Lazima uchaguzi kama huu upewe kipaumbele cha kwanza, vinginevyo utaishia kuharibika.

Zoezi la leo nalifananisha na mtu anayetenda jambo akitumia nguvu nyingi bila maarifa.

La sivyo, wangetenganisha mambo. Tarehe 21 mambo mengine yote, halafu 22 wajumbe wanaamkia zoezi moja tu la uchaguzi.

Hivi walivyofanya, kiafya inashaurika kweli? Mbona wanahatarisha afya za Watanzania? Halafu miongoni mwao wapo wazee kabisa, bila kuwataja wale wenye changamoto za kiafya.
 
Kwani kabla ya zoezi muhimu kama hili, huwa hawafanyi vikao vya maandalizi? Maana kuna mambo ukiyatazama, hadi mwenyewe unashikwa hasira.

Kuna watu wanaweza kuona zoezi linavyoenda, wakaishia tu kusonya na kusema hao bado wachanga, hawawezi kitu.

Idadi ya wajumbe wasiofika 1000, zoezi lote lilitakiwa liwe limekamilika ndani ya saa 2 au 3 tu!
" hao bado wachanga, hawawezi kitu " - @Jasmon Tegga uko sahihi sana
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya chama cha siasa cha upinzani na kampuni ya kina tundu
Wao wanadai eti walishavuka huko kitambo, lakini sasa utendaji wao na jinsi wanavyoendesha mambo vinazidi kuwasaliti na kuwaumbua.
 
Lissu au Mbowe ameshinda UIchaguyzi kama vile Samia na mwenzie walivyoshinda kuwa wagombea wa CCM.

Tanzania itaongozwa na ama CHADEMA au CCM.

Tanzania hiyo ndiyo wanainchi wanataka
 
Uchaguzi gani huu unafanyika usiku wa manane?

Tayari hapo atayeshindwa atapata sababu zake za kutilia shaka matokeo.
 
Back
Top Bottom