Yanayojiri: Uchaguzi wa Marudio Kenya - Oktoba 26, 2017

Acha hizo 1academ si nilidhani umesepa? Dah hata wewe ni mwanamgambo wa NRM? Ya Joseph samahani Raila? Raundi hii hakuna cha mvi wala nini bora tu uwe una kidole chako cha gumba. 😉
Haha.. omothe dire oo area t'a bacteria modo, niatia kurathie kou kwanyu?
 
Hv Wakenya Wanataka Nini Jaman Tume Ipo Huru , Mahakama Ipo Huru , Ma Rc Na Ma Dc Wanachaguliwa Kwa Kura , Cjui Wanahitaji Nini Zaidi
Usiongee usichokijua. Jana Voice of America wamejadili jinsi tume ya uchaguzi ilivyoharibu election na bado hawatimiza matakwa ya mahakama. Uhuru anaforce urais
Kisii turnout so nzuri, dogi wameamua kujinafas vituoni [emoji191] [emoji3] [emoji202] View attachment 617387View attachment 617389
 
Kwenye mauwaji Tz hatuwezi kuwanyooshea kidole wakenya, labda kwenye ukabila.
 
Hv Wakenya Wanataka Nini Jaman Tume Ipo Huru , Mahakama Ipo Huru , Ma Rc Na Ma Dc Wanachaguliwa Kwa Kura , Cjui Wanahitaji Nini Zaidi
Kuna jamaa anajua hawezi shins a kidemocrasia. Kwa hivyo lazima kuwe na fujo ili apate cheo bila kupitia uchaguzi
 
Kwenye mauwaji Tz hatuwezi kuwanyooshea kidole wakenya, labda kwenye ukabila.
Tuna wanyooshea, tena sio kidole kimoja, vyote vitano, nipe majina matano ya wanasiasa waliouliwa na serikali Tanzania, kwa kila jina moja, mimi nitakupa majina kumi ya wanasiasa wa Kenya waliouliwa na serikali huko Kenya, na ziada nitaongeza ukitaka
 
Wakenya wawe na akili zao wenyewe sasa,
Hii kichwa moja tu ya Laila Odinga ndio inasababisha watu baadhi wanauwawa
Na huyu jamaa yake Uhuru, siwamsacrifice mmoja amani iwepo.
Wasitusumbue vichwa.
Rubbish!
 
Tuna wanyooshea, tena sio kidole kimoja, vyote vitano, nipe majina matano ya wanasiasa waliouliwa na serikali Tanzania, kwa kila jina moja, mimi nitakupa majina kumi ya wanasiasa wa Kenya waliouliwa na serikali huko Kenya, na ziada nitaongeza ukitaka
Eti vidole vyote vitano? Sasa mbona unatubagua sisi ambao tuna vidole sita kwenye mkono mmoja?
 
Tuna wanyooshea, tena sio kidole kimoja, vyote vitano, nipe majina matano ya wanasiasa waliouliwa na serikali Tanzania, kwa kila jina moja, mimi nitakupa majina kumi ya wanasiasa wa Kenya waliouliwa na serikali huko Kenya, na ziada nitaongeza ukitaka
Katika mambo ya hovyo, kenya wametuzidi kwenye ukabila tu, mengine tunafanana na hata kuwazidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…